Tuesday, October 11, 2016

UNIVERSITIES ABROAD YADHAMINI WANAFUNZI 220 KWENDA KUSOMA NJE YA NCHI


Mkurugenzi wa Taasisi  ya Universities Abroad Link, Tony Kabetha akizungumza na waandishi wa habari kwenye uwanja wa Ndegewa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam wakati wa kuwaaga wanafunzi 220 waliopata udhamini  wa masomo kutoka Universities Abroad Link. (Picha na Francis Dande).
Mkurugenzi wa Kampuni ya Universities Abroad Link, Tony Kabetha (katikati), akizungumza na Esnath Mwaka (kushoto), ambaye ni mmoja wa wanafunzi 220 waliopata udhamini  wa Universities Abroad Link kwenda kusomea masomo ya Uchumi na Biashara za Kimataifa nchini China. Hafla ya kuwaaga ilifanyika kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kulia ni David Mwaka. 
 Baadhi ya wanafunzi wanaokwenda katika masomo nchini UK na China wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Universities Abroad Link muda mfupi kabla ya kupanda Ndege kuelekea China na Uingereza katika masomo yao.
 Wanafunzi waliopata ufadhili wa Universities Abroad Link wakiwa katika picha ya pamoja na wazazi, walezi wao wakati wa kuwaaga Uwanja wa Ndege.
 Picha ya pamoja.
 Wanafunzi wakiwa katika picha ya pamoja.
Mwakilishi wa wanafunzi wanaokwenda China na Uingereza akitoa neno la shukrani muda mfupi kabla ya kupanda Ndege kuelekea China na UK.

No comments: