Wednesday, October 26, 2016

Plan International yatoa rai kwa Serikali kuanzisha Idara ya Kazi migodini

Meneja wa Miradi wa Shirika la Plan International - Geita, Gratian Kweyamba akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya malengo ya Mradi wa Uondoaji Ajira Hatarishi na Vitendo vya Ukatili kwa Watoto, kulia ni Mratibu wa Mradi huo, Maxmillian Kitigwa. Mradi huu wa miaka mitatu unafadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD), unaratibiwa na Shirika la Plan International na kutekelezwa katika Wilaya 3 za Mkoa wa Geita.

No comments: