Saturday, October 22, 2016

MAPOKEZI YA B.G MALISA MKOANI ARUSHA LEO OKTOBA 22,2016

Kiongozi mkuu wa kanisa la Ukombozi ,Nabii B.G Malisa akizungumza na waandishi wa habari mara baada tu ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro(KIA) leo ambapo atakuwa na mkutano wa maombezi wa siku 8 katika viwanja vya reli jijini Arusha.
Nabii B.G Malisa akitia sahihi katika kitabu cha wageni ndani ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro(KIA) mara baada ya kuwasili akitokea jijini Dar es salaam ambapo atakuwa na mkutano wa maombezi wa siku 8 katika viwanja vya reli jijini Arusha.
Nabii B.G Malisa akipokea zawadi ya maua mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro(KIA) leo ambapo atakuwa na mkutano wa maombezi wa siku 8 jijini Arusha katika viwanja vya reli.
Nabii B.G Malisa akipokea zawadi ya maua mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro(KIA) leo ambapo atakuwa na mkutano wa maombezi wa siku 8 jijini Arusha katika viwanja vya reli.
Umati wa wakazi wa mkoa wa Arusha waliofurika katika uwanja wa ndege wa kimatifa wa Kilimanjaro(KIA) kumpokea Nabii B.G Malisa ambaye atakuwa na mkutano wa maombezi wa siku 8 katika viwanja vya reli jijini Arusha.
Nabii B.G Malisa akiwa nje ya chumba cha mapokezi ya wageni mashuhuri(VIP) katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA)mara baada ya kuwasili leo mkoani Arusha,pembeni yake kushoto ni mchungaji wa kanisa la Ukombozi tawi la Arusha ,Mwana wa Nabii mchungaji Ushindi na mkewe Grace Ushindi wa tatu kutoka kulia waliosimama.(picha na Moses Mashalla)

No comments: