Monday, September 5, 2016

ABRAHAM MOSSI NA RACHEL KISSUI WALIVYOMEREMETA NA KUWAKAWAKA

 Bw. Harusi Abraham Mossi na Mkewe Bi. Rachel Kissui wakiingia Kanisani tayari kwa Ibada ya Ndoa yao iliyofungwa katika Kanisa la Katoriki la Mtakatibu Isidori Bakanja, Parokia ya Boko Jijini Dar es salaam, mwishoni mwa wiki.
 Maharusi wakiwaongoza ndugu na jamaa waliofika kushuhudia ndoa yao, kuongia kanisani.
 Maharusi na wapambe wao.
 Ibada kabla ya ndoa.
 Wadau.
 "Abraham Mossi umekubali kumuoa Rachel Kissui?"
"Rachel Kissui umekubali kuolewa na Abraham Mossi?"
 Bw. Harusi akimvisha pete mkewe.
 Mke akimvisha pete mumewe.
"Sasa ni mwili mmoja" Abraham na Rachel mwanzo mwisho....
 Tabasamu la nguvu baada ya kumamilisha tendo muhimu katika maisha.
 Hapo viti??
 Bw. Harusi Abraham Mossi akimwaga wino, kwa muongozo wa Padri humu mamsapu wake akimshuhudia.
 Bi. Harusi Rachel Kissui akimwaga wino pia.
 "Unajua nini My Wife, leo ni bonge la siku kwetu"
 Kicheki cha kiaina.
 Maharusi na Familia zao.

 Kamati maalum iliyosimamia vitengo vyote katika harusi hiyo





















No comments: