Thursday, August 11, 2016

WADAU WA MAENDELEO WAKUTANA NA SERIKALI KUJADILI NAMNA YA KUBORESHA UHUSIANO


Mwenyekiti wa mkutano wa wadau wa Washirika wa Maendeleo Dkt. Donald  Kaberuka akifafanua jambo kwa wajumbe (hawapo pichani) waliohudhuria mkutano wa kutafuta njia bora ya kuhuisha na kuimarisha ushirikiano kati ya wadau hao wa maendeleo na serikali, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini Dar es salaam.
Mmoja wa washiriki wa mkutano huo kutoka meza kuu akichangia jambo wakati wa mjadala kuhusu namna bora ya Tanzania kuhuisha na kuimarisha ushirikiano na wadau wake wa maendeleo, mkutoano huo umefanyika katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Jijini Dar es salaam. Kulia kwake anaonekana Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Servacius Likwelile.
Mtaalamu Mshauri James Adams, akichokoza mada ya namna bora ya kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na wadau wake wa maendeleo, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Jijini Dar es salaam.

Mwenyekiti wa mkutano unaojadili kuhusu namna ya kuboresha mahusiano kati ya Tanzania na Wadau wake wa Maendeleo, aliyewahi kuwa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika-AfDB-Dkt. Donald Kaberuka (kushoto), akifafanua jambo kwenye ukumbi wa mikutano wa Benki Kuu, Jijini Dar es salaam, kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Servacius Likwelile.
Washirika wa Maendeleo wakiwa katika mkutano wa pamoja kuhusu namna ya kuboresha mahusiano kati ya Tanzania na Wadau wake wa Maendeleo, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini Dar es salaam. 
Mwenyekiti wa mkutano, aliyewahi kuwa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika-AfDB-Dkt. Donald Kaberuka (kushoto), katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Servacius Likwelile na kulia ni Bw. Steve Kayizzi Mugerwa wakisikiliza hoja ya mdau wa Maendeleo (hayupo pichani) wakati wa mjadala kuhusu namna ya kuimarisha ushirikiano.
Washirika wa Maendeleo wakiwa katika mkutano wa pamoja kuhusu namna ya kuimarisha uhusiano wa Maendeleo nchini Tanzania, mkutano umefanyika katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Jijini Dar es salaam. 
Kaimu Katibu Mkuu wa Tume ya Mipango Bi. Florence Mwanri (kushoto) akisikiliza kwa makini hoja ya mjumbe wa Mkutano kuhusu namna ya kuboresha ushirikiano kati ya Tanzania na Wadau wake wa Maendeleo, mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Jijini Dar es salaam. 
Washirika wa Maendeleo wakiwa katika mkutano wa pamoja kutafuta njia bora ya kuhuisha na kuimarisha ushirikiano kati ya wadau hao wa maendeleo na serikali, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini Dar es salaam.
Washirika wa Maendeleo wakiwa katika mkutano wa pamoja kutafuta njia bora ya kuhuisha na kuimarisha ushirikiano kati ya wadau hao wa maendeleo na serikali, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini Dar es salaam.
 

No comments: