Saturday, August 20, 2016

JK AONGOZA MAMIA MAZISHI YA BI SHAKILA MBAGALA CHARAMBE JIJINI DAR.

s Mstaafu awamu ya nne,Dkt Jakaya Kikwete akiweka udongo kwenye kaburi la Bi Shakila Said,wakati wa maziko huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar .
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye akiweka udongo kwenye kaburi la Bi Shakila Said,wakati wa maziko huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar.
Rais Mstaafu awamu ya nne,Dkt Jakaya Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo cha Bi Shakila Said ,huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar,wa pili kushoto akishuhudia ni Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye.
Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu Hassan akiweka saini kitabu cha maombolezo cha Bi Shakila Mbagala Charambe,jijini Dar,kushoto ni  Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye.
 Mke wa Rais Mstaafu awamu ya nne,Mama Salma Kikwete akiweka saini kitabu cha maombolezo cha Bi Shakila Said ,huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar.


Rais Mstaafu awamu ya nne,Dkt Jakaya Kikwete (wa pili kulia) na Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye (pili kushoto) wakishiriki maziko ya aliyekuwa Mkongwe,mwimbaji mahiri wa muziki wa Taarabu hapa nchini,Bi Shakila Saidi ambaye mazishi yake yamefanyika leo huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar.
Makamu wa Rais Mh,Samia Suluhu akijadiliana jambo na mmoja wa waombolezaji nyumbani kwa marehemu,kabla ya maziko kufanyika.Bi Shakila,amefariki ghafla nyumbani kwake,huko Mbagala Charambe. 
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye akiwa na baadhi ya waombolezaji wengine wakiwemo wasanii wa muziki wa kizazi kipya na wanamuziki wakongwe wakiwa kwenye mazishi ya Bi Shakila,hukko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar.
Baadhi ya Waombolezaji wakiwa nyumbani kwenye mazishi ya Bi Shakila,aliyefariki ghafla nyumbani kwake,huko Mbagala Charambe. 
Baadhi ya Waombolezaji wakiwa nyumbani kwenye mazishi ya Bi Shakila,aliyefariki ghafla nyumbani kwake,huko Mbagala Charambe. 
Mwili wa marehemu Bi Shakila ukiswaliwa tayari kwa maziko 
Waombelezaji wakiwa wamebeba Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Bi Shakila wakielekea mazikoni,jioni ya leo huko nyumbani kwake Mbagala Charambe,jijini Dar. 
Mwili ya Bi Shakila tayari umeishapumzishwa kwenye nyumba yake ya Milele
Safari ya mwisho ya Bi Shakila Said .
Rais Mstaafu awamu ya nne,Dkt Jakaya Kikwete (wa tatu kulia) akijalidiliana jambo na Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mh.Nape Nnauye (pili kushoto).
 Baadhi ya wanamuziki wakongwe na bongofleva wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kushiriki mazishi ya Bi Shakila huko nyumbani kwake Mbagala Charambe jijini Dar
 Rais Mstaafu awamu ya nne Dkt Jakaya Kikwete akizungumza na waombolezaji.
Katibu MKuu wa Shirikisho la Wanamuziki nchini,John Kitime akiweka saini kitabu cha maombolezo cha Bi Shakila Said ,huko nyumbani kwa marehemu Mbagala Charambe,jijini Dar.

No comments: