Sunday, July 31, 2016

SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI

SIMU.TV: Sia Pius ameibuka mshindi katika shindano la kumsaka Miss Sinza na kufaikiwa kujinyakulia zawadi mbalimbali zilizotolewa na wadhamini wa shindano hilo.https://youtu.be/H3s12MVjf0k  

SIMU.TV: Timu ya Afrika media Group imefanikiwa kutoa sare ya goli moja kwa moja ilipocheza na timu ya umoja wa watuma salamu. https://youtu.be/1c9YuGRp1ek

SIMU.TV: Rais DR. John Pombe Magufuli amewataka wakuu wa mikoa na wabunge kuwa wabunifu katika miradi mbalimbali ya Maendeleo. https://youtu.be/nAZ1a--vz5M

SIMU.TV: Waziri wa fedha na Mipango Dr Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na makamu wa rais wa benki ya afrika AfDB. https://youtu.be/6DW4H7-_e8s

SIMU.TV: Chuo cha sayansi ya ardhi kikishirikiana na chuo kikuu cha Dodoma vimeanzisha mradi wa kuteteza taka ngumu ili kulinda mazingira. https://youtu.be/XURlWP2taDY

SIMU.TV: Idara ya uhamiaji Tanzania ikishirikiana na idara ya uhamiaji nchini Zambia wameanzisha utaratibu wa kuthibiti nyaraka bandia za kusafiria katika nchi hizi.https://youtu.be/linhLJKIr18

SIMU.TV: Naibu waziri wa kilimo ufugaji na uvuvi amewaagiza maafisa ardhi katenga maeneo kwa ajili ya wafugaji wa samaki. https://youtu.be/Mm9msIFIg68

SIMU.TV: Shirika la umeme TANESCO mkoa wa Kinondoni limemkamata mkazi mmoja aliyekua kajiunganishia huduma ya umeme kwa njia za wizi.https://youtu.be/_Fca8AFRCyA

SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Rukwa Zalote Steven, ameagiza kukamatwa kwa watumishi wa umma wanaoshirikiana na wananchi katika vitendo vya uvuvi haramu;https://youtu.be/6z8OpzBMxpo

SIMU.TV: Wakazi wa mkoa wa Geita wameombwa kujitokeza kwa wingi kuchangia katika hospitali ya mkoa huo ambapo mpaka sasa zimebakia chupa nne;https://youtu.be/bcrz2Uf4FKc

SIMU.TV: Rais Dr Magufuli amewaagiza viongozi wa mkoa wa Tabora kuhakikisha kituo cha mabasi cha Igunga kinaanza kufanya kazi ifikapo Agosti 1 mwaka huu;https://youtu.be/B94FeFXDWOg

Rais Dr Magufuli amemtaka mkandarasi anayejenga barabara wilayani Manyoni, kuhakikisha anarudi kazini na kumaliza haraka ujenzi wa barabara hiyo;https://youtu.be/O_Ob6ltSyv8

SIMU.TV: Baadhi ya wakazi wanaoishi pembezoni mwa Barabara moja kuelekea wilayani Tunduru mkoani Ruvuma wameilalamikia serikali kwa kuchelewa kuwalipa fidia zao za kupisha ujenzi wa barabara; https://youtu.be/mSLzJhmYVt8

SIMU.TV: Serikali imesema itaifanyia ukarabati barabara ya Lusahunga kwenda Rusumo mkoani Kagera ambayo imeharibiwa sana kutokana na msongamano wa Malori;https://youtu.be/st5iKipEzkE

SIMU.TV: Zaidi ya wapangaji 1000 wamekosa makazi baada ya kulazimika kuondoka kwenye Nyumba zinazomilikiwa na CDA mkoani Dodoma kwa kushindwa kulipa kodi;https://youtu.be/8bb9uA3coH0

SIMU.TV: Waziri wa fedha na mipango Dr Philip Mpango, amekutana na makamu wa rais wa benki ya maendeleo Afrika na kumshukuru kwa kuendelea kuisaidia Tanzania katika miradi mbalimbali; https://youtu.be/MfXq-3-HTog

SIMU.TV: Waziri wa TAMISEMI George Simbachawene amewasimamisha kazi afisa elimu pamoja na afisa elimu sekondari mkoani Mbeya baada ya wanafunzi wilayani Ileje kulala chini; https://youtu.be/BPKnpcpCA-M

SIMU.TV: Washiriki wa shindano la Klabu Raha Leo wametakiwa kuongeza bidii na kutokata tama kama wanataka kuibuka na ushindi katika shindano hilo;https://youtu.be/hTQJ2Mx993U

SIMU.TV: Kocha mkuu wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa amelazimika kuhairisha kambi ya timu hiyo baada ya kuombwa kufanya hivyo na klabu mbalimbali nchini;https://youtu.be/LHxHulgh7sI

SIMU.TV: Wasanii wa Tanzania wameshauriwa kurekodi nyimbo zao kwa kutumia studio za hapa nchini baada ya kwenda kufanya hivyo nchi za nje; https://youtu.be/IaWjsJwufI0

SIMU.TV: Meya wa manispaa ya Kinondoni Boniface Jacob, amewataka wachezaji wa timu ya KMC ambayo inamilikiwa na manispaa hiyo kuheshimu mikataba yao ya kazi;https://youtu.be/NTy5Ok8vvhQ

SIMU.TV: Tamasha la Tumaini Jipya lenye lengo la kuifundisha jamii kuwa na malezi bora kwa familia zao linatarajia kufanyika hii leo jijini Dar Es salaam katika uwanja wa Uhuru;https://youtu.be/pBsWgyH0unw

SIMU.TV: Mtunzi wa kitabu cha Historia ya soka la Tanzania Peter Ching’ole, amewataka watanzania kuwa na desturi ya kufanya utafiti ili waweze kuwa watunzi wazuri wa vitabu;https://youtu.be/DmISLH-WtK0

SIMU.TV: Mshambuliaji mpya wa klabu ya Manchester United, Zlatan Ibrahimovic ameanza kufungua akaunti ya magoli akiwa na klabu yake hiyo mpya baada ya hapo jana kufanikiwa kuisawazishia timu yake dhidi ya Galatasaray; https://youtu.be/sMtBAtwN7l0

No comments: