Friday, July 15, 2016

SERIKALI YA TANZANIA YAKABIDHI MABAKI YA BAWALA LA NDEGE LILILOKOTWA PEMBA MWEZI JUNI 2016 KWA SERIKALI YA AUSTRALIA NA MALAYSIA KWA USHUNGUZI RASMI. BAWA HILO LINADHANIWA KUWA LA NDEGE YA ABIRI YA MALAYSIA MH370 ILIYOPOTEA MACHI 2014.

 Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt leonard Chamuriho,(katikati) akizungumza na waandishi wa habari, wakati  Tanzania ilipokuwa ikikabidhi bawa la ndege  kwa serikali ya Malaysia, linalodhaniwa kuwa la ndege ya Malayasia MH370, iliyopotea wakati ikifanya safari kutoka malaysia kwenda China mwaka 2014. Mabaki ya bawa hilo yaliokotwa na mvuvi katika pwani ya Pemba  Chungua Hamad Chungua  (hayupo pochani)mwezi Juni 2016. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi  mwandamizi wa ajali za ndege , Wizara ya Uchukuzi Malayasia, Aslam Basha Khan, Balozi wa Australia katika nchi za Afrika Mashariki, John  Feakes na Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari ,hafala hiyo ilifanyika  Makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt leonard Chamuriho,(katikati) akizungumza na waandishi wa habari, wakati  Tanzania ilipokuwa ikikabidhi bawa la ndege  kwa serikali ya Malaysia, linalodhaniwa kuwa la ndege ya Malayasia MH370, iliyopotea wakati ikifanya safari kutoka malaysia kwenda China mwaka 2014. Mabaki ya bawa hilo yaliokotwa na mvuvi katika pwani ya Pemba  Chungua Hamad Chungua  (hayupo pochani)mwezi Juni 2016. Kutoka kushoto ni Balozi wa Australia katika nchi za Afrika Mashariki, John  Feakes na Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari ,hafala hiyo ilifanyika  Makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt leonard Chamuriho,(katikati)  akimsikiliza kwa makini Balozi wa Australia katika nchi za Afrika Mashariki, John  Feakes (Kushoto)akizungumza na waandishi wa habari, aikiishukuru serikali ya  Tanzania wakati  ilipokuwa ikikabidhi bawa la ndege  kwa serikali ya Malaysia, linalodhaniwa kuwa la ndege ya Malayasia MH370, iliyopotea wakati ikifanya safari kutoka malaysia kwenda China mwaka 2014. Mabaki ya bawa hilo yaliokotwa na mvuvi katika pwani ya Pemba  Chungua Hamad Chungua  (hayupo pochani)mwezi Juni 2016. Kutoka kushoto ni Balozi wa Australia katika nchi za Afrika Mashariki, John  Feakes na Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari ,hafala hiyo ilifanyika  Makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaam.
  Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt leonard Chamuriho,(wapili kulia)  na Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari  ,pamoja na  Balozi wa Australia katika nchi za Afrika Mashariki, John  Feakes (wapili kushoto) wakimsikiliza kwa makini  Mkurugenzi  mwandamizi wa ajali za ndege  wa  Wizara ya Uchukuzi Malayasia, Aslam Basha Khan, wakati  akizungumza na waandishi wa habari,(hawapo pichani) wakati  serikali ya  Tanzania  ilipokuwa ikikabidhi bawa la ndege  kwa serikali ya Malaysia, linalodhaniwa kuwa la ndege ya Malayasia MH370, iliyopotea wakati ikifanya safari kutoka malaysia kwenda China mwaka 2014. Mabaki ya bawa hilo yaliokotwa na mvuvi katika pwani ya Pemba  Chungua Hamad Chungua  (hayupo pochani)mwezi Juni 2016. Hafala hiyo ilifanyika  Makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt leonard Chamuriho,(kulia)  akishuhudia  Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari  akisaini hati ya makabidhiano ya mabaki ya bawa la ndege  wakati  serikali ya  Tanzania  ilipokuwa ikikabidhi bawa hilo  kwa serikali ya Malaysia, linalodhaniwa kuwa la ndege ya Malayasia MH370, iliyopotea wakati ikifanya safari kutoka malaysia kwenda China mwaka 2014. Mabaki ya bawa hilo yaliokotwa na mvuvi katika pwani ya Pemba  Chungua Hamad Chungua  (hayupo pochani)mwezi Juni 2016.  Katika hafala hiyo ilifanyika  Makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaam.Kulia ni  Mwanasheria wa Mamlaka na Katibu wa Bodi ya wakurugenzi wa TCAA,Vallery Chamulungu.
 Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt leonard Chamuriho,( wapil kulia)  na Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari  (kulia) wakifuatilia kwa mdhamini wakati Balozi wa Australia katika nchi za Afrika Mashariki, John  Feakes (kushoto)  akisaini hati ya makabidhiano ya mabaki ya bawa la ndege , wakati  serikali ya  Tanzania  ilipokuwa ikikabidhi bawa hilo  kwa serikali ya Malaysia, linalodhaniwa kuwa la ndege ya Malayasia MH370, iliyopotea wakati ikifanya safari kutoka malaysia kwenda China mwaka 2014. Mabaki ya bawa hilo yaliokotwa na mvuvi katika pwani ya Pemba  Chungua Hamad Chungua  (hayupo pochani)mwezi Juni 2016.  Katika hafala hiyo ilifanyika  Makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaam.aliyesimama ni  Mwanasheria wa Mamlaka na Katibu wa Bodi ya wakurugenzi wa TCAA,Vallery Chamulungu.
 Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt leonard Chamuriho,( wanne kulia)    Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari (watano kulia) Balozi wa Australia katika nchi za Afrika Mashariki, John  Feakes (watatu kushoto), Mkurugenzi  mwandamizi wa ajali za ndege , Wizara ya Uchukuzi Malayasia, Aslam Basha Khan, (wapili Kushoto) ,  Mwanasheria wa Mamlaka na Katibu wa Bodi yawakurugenzi wa TCAA,Vallery Chamulungu.(kushoto) pamoja na maafisa wa kitengo cha ukaguzi wa ajari za ndege Wizara ujenzi , Uchukuzi na mawasiliano wakikabidhiana mabaki ya bawa la ndege , linalodhaniwa kuwa la ndege ya Malayasia MH370, iliyopotea wakati ikifanya safari kutoka malaysia kwenda China mwaka 2014. Mabaki ya bawa hilo yaliokotwa na mvuvi katika pwani ya Pemba  Chungua Hamad Chungua  (hayupo pochani)mwezi Juni 2016.  Katika hafala hiyo ilifanyika  Makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaalam.
 Mkurugenzi  mwandamizi wa ajali za ndege , Wizara ya Uchukuzi Malayasia, Basha Khan,(kushoto waliochuchuma )  na Katibu Mkuu, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Dkt leonard Chamuriho,wakikagua mabaki ya bawa la ndege,  wakati  serikali ya  Tanzania  ilipokuwa ikikabidhi bawa hilo  kwa serikali ya Malaysia, linalodhaniwa kuwa la ndege ya Malayasia MH370, iliyopotea wakati ikifanya safari kutoka malaysia kwenda China mwaka 2014. Mabaki ya bawa hilo yaliokotwa na mvuvi katika pwani ya Pemba  Chungua Hamad Chungua  (hayupo pochani)mwezi Juni 2016. ,hafala hiyo ilifanyika  Makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaam.wanaoshuhudia kutoka kulia ni Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari  na  Balozi wa Australia katika nchi za Afrika Mashariki, John  Feakes.
 Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari (kulia )  akisaidiana na wafanyakazi wa DHL kuingiza mabaki ya bawa la ndege  tayari kuelekea nchini Malaysia kwa uchunguzi zaidi mara baada ya  serikali ya  Tanzania  kulikabidhi bawa hilo  kwa serikali ya Malaysia, linalodhaniwa kuwa la ndege ya Malayasia MH370, iliyopotea wakati ikifanya safari kutoka malaysia kwenda China mwaka 2014. Mabaki ya bawa hilo yaliokotwa na mvuvi katika pwani ya Pemba  Chungua Hamad Chungua  (hayupo pochani)mwezi Juni 2016. ,hafala hiyo ilifanyika  Makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari (wapili kushoto )  akitoa maelekezo kwa wafanyakazi  wa DHL jinsi ya kuingiza mabaki ya bawa la ndege  tayari kuelekea nchini Malaysia kwa uchunguzi zaidi mara baada ya  serikali ya  Tanzania  kulikabidhi bawa hilo  kwa serikali ya Malaysia, linalodhaniwa kuwa la ndege ya Malayasia MH370, iliyopotea wakati ikifanya safari kutoka malaysia kwenda China mwaka 2014. Mabaki ya bawa hilo yaliokotwa na mvuvi katika pwani ya Pemba  Chungua Hamad Chungua  (hayupo pochani)mwezi Juni 2016. ,hafala hiyo ilifanyika  Makao makuu ya TCAA Banana Ukonga  jijini Dar es Salaam.

  

No comments: