Friday, June 17, 2016

WAFANYAKAZI NMB, SERENA HOTELI WASAIDIA YATIMA WA DOGODOGO CENTRE BUNJU.

Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakiwasili katika Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju kutoa msaada kwa watoto wa kituo hicho jana.  Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakiwasili katika Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju kutoa msaada kwa watoto wa kituo hicho jana.Wafanyakazi wa Benki ya NMB wakikabidhi baadhi ya misaada yao waliojichangisha kwa ajili ya kusaidia watoto katika Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju kwa mmoja wa viongozi wa kituo hicho.  Wafanyakazi wa Benki ya NMB wakikabidhi baadhi ya misaada yao waliojichangisha kwa ajili ya kusaidia watoto katika Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju kwa mmoja wa viongozi wa kituo hicho. Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakiwasili katika Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju kutoa msaada kwa watoto wa kituo hicho jana.  Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakiwasili katika Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju kutoa msaada kwa watoto wa kituo hicho jana.Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakishiriki zoezi la kupaka rangi moja ya majengo ya Kituo cha Watoto Yatima cha Dogodogo Centre Bunju walipotembelea kituo hicho kutoa misaada mbalimbali kwa watoto wa kituo hicho jana jijini Dar es Salaam.  Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakishiriki zoezi la kupaka rangi moja ya majengo ya Kituo cha Watoto Yatima cha Dogodogo Centre Bunju walipotembelea kituo hicho kutoa misaada mbalimbali kwa watoto wa kituo hicho jana jijini Dar es Salaam.Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakishiriki zoezi la kupaka rangi moja ya majengo ya Kituo cha Watoto Yatima cha Dogodogo Centre Bunju walipotembelea kituo hicho kutoa misaada mbalimbali kwa watoto wa kituo hicho jana jijini Dar es Salaam.  Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakishiriki zoezi la kupaka rangi moja ya majengo ya Kituo cha Watoto Yatima cha Dogodogo Centre Bunju walipotembelea kituo hicho kutoa misaada mbalimbali kwa watoto wa kituo hicho jana jijini Dar es Salaam.Baadhi ya wafanyakazi wa Serena Hoteli ya jijini Dar es Salaam wakishiriki zoezi la kupaka rangi moja ya majengo ya Kituo cha Watoto Yatima cha Dogodogo Centre Bunju walipotembelea kituoni hapo jana na kula chakula cha mchana na watoto wa kituo hicho. Baadhi ya wafanyakazi wa Serena Hoteli ya jijini Dar es Salaam wakishiriki zoezi la kupaka rangi moja ya majengo ya Kituo cha Watoto Yatima cha Dogodogo Centre Bunju walipotembelea kituoni hapo jana na kula chakula cha mchana na watoto wa kituo hicho.Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakishiriki zoezi la kupaka rangi moja ya majengo ya Kituo cha Watoto Yatima cha Dogodogo Centre Bunju walipotembelea kituo hicho kutoa misaada mbalimbali kwa watoto wa kituo hicho jana jijini Dar es Salaam.  Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakishiriki zoezi la kupaka rangi moja ya majengo ya Kituo cha Watoto Yatima cha Dogodogo Centre Bunju walipotembelea kituo hicho kutoa misaada mbalimbali kwa watoto wa kituo hicho jana jijini Dar es Salaam.Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB na Serena Hoteli wakipata maelezo kutoka kwa mwalimu wa ushonaji wa Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju (kulia) walipotembelea kituo hapo. Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB na Serena Hoteli wakipata maelezo kutoka kwa mwalimu wa ushonaji wa Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju (kulia) walipotembelea kituo hapo.IMG_0674Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB na Serena Hoteli wakipata maelezo kutoka kwa mwalimu wa ushonaji wa Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju (kulia) walipotembelea kituo hapo. Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB na Serena Hoteli wakipata maelezo kutoka kwa mwalimu wa ushonaji wa Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju (kulia) walipotembelea kituo hapo.Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakiangalia shughuli zinazofanywa na watoto wa Kituo cha Watoto Yatima cha Dogodogo Centre Bunju walipotembelea kituo hicho kutoa misaada mbalimbali kwa watoto wa kituo hicho jana jijini Dar es Salaam.  Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakiangalia shughuli zinazofanywa na watoto wa Kituo cha Watoto Yatima cha Dogodogo Centre Bunju walipotembelea kituo hicho kutoa misaada mbalimbali kwa watoto wa kituo hicho jana jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakiliangalia shati lililoshonwa na mmoja wa watoto wa Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju anayesomea mafunzo ya ufundi wa ushonaji yanayotolewa kwa baadhi ya watoto kituo hapo. Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB wakiliangalia shati lililoshonwa na mmoja wa watoto wa Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju anayesomea mafunzo ya ufundi wa ushonaji yanayotolewa kwa baadhi ya watoto kituo hapo.Baadhi ya watoto wa Kituo cha Watoto Yatima cha Dogodogo Centre Bunju waliopata mafunzo ya uokoaji wakionesha namna wanavyoweza kushiriki katika uokoaji katika majanga anuai hasa ya moto kwa waathirika. Pichani wakimshusha mmoja wa majeruhi kutoka juu ya jengo baada ya kuumia. Baadhi ya watoto wa Kituo cha Watoto Yatima cha Dogodogo Centre Bunju waliopata mafunzo ya uokoaji wakionesha namna wanavyoweza kushiriki katika uokoaji katika majanga anuai hasa ya moto kwa waathirika. Pichani wakimshusha mmoja wa majeruhi kutoka juu ya jengo baada ya kuumia.Baadhi ya watoto wa Kituo cha Watoto Yatima cha Dogodogo Centre Bunju waliopata mafunzo ya uokoaji wakionesha namna wanavyoweza kushiriki katika uokoaji katika majanga anuai hasa ya moto kwa waathirika. Pichani wakimshusha mmoja wa majeruhi kutoka juu ya jengo baada ya kuumia. Baadhi ya watoto wa Kituo cha Watoto Yatima cha Dogodogo Centre Bunju waliopata mafunzo ya uokoaji wakionesha namna wanavyoweza kushiriki katika uokoaji katika majanga anuai hasa ya moto kwa waathirika. Pichani wakimshusha mmoja wa majeruhi kutoka juu ya jengo baada ya kuumia.Wafanyakazi wa Benki ya NMB wakikabidhi baadhi ya misaada yao waliojichangisha kwa ajili ya kusaidia watoto katika Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju kwa mmoja wa viongozi wa kituo hicho.  Wafanyakazi wa Benki ya NMB wakikabidhi baadhi ya misaada yao waliojichangisha kwa ajili ya kusaidia watoto katika Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju kwa mmoja wa viongozi wa kituo hicho.Wafanyakazi wa Benki ya NMB wakikabidhi baadhi ya misaada yao waliojichangisha kwa ajili ya kusaidia watoto katika Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju kwa mmoja wa viongozi wa kituo hicho.  Wafanyakazi wa Benki ya NMB wakikabidhi baadhi ya misaada yao waliojichangisha kwa ajili ya kusaidia watoto katika Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju kwa mmoja wa viongozi wa kituo hicho.Wafanyakazi wa Benki ya NMB wakikabidhi baadhi ya misaada yao waliojichangisha kwa ajili ya kusaidia watoto katika Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju kwa mmoja wa viongozi wa kituo hicho.  Wafanyakazi wa Benki ya NMB wakikabidhi baadhi ya misaada yao waliojichangisha kwa ajili ya kusaidia watoto katika Kituo cha watoto yatima cha Dogodogo Centre Bunju kwa mmoja wa viongozi wa kituo hicho.

No comments: