Thursday, May 5, 2016

Menejimenti ya NHC yatembelea miradi ya shirika hilo jijini Dar es salaam

Meneja Mradi wa Shirika l nyumba la Taifa NHC Kawe unaokwenda kwa jina la 711 Injinia Samwel Metil akitoa maelezo kwa Timu ya Menejimenti ya NHC wote(Directors, Regional Managers & Line Managers) wakati walipotembelea miradi ya 711 Kawe , Morocco Square, Victoria Place, Eco Residence na Kibada ambapo ambapo pia watafanya pia kazi katiia miradi hiyo Lengo la ziara hiyo ilikuwa ni kuwafahamisha juu ya maendeleo na changamoto za miradi hiyo. 
Mmoja wa Mainjinia wa Mradi wa 711 Kawe Bw.Kishor Hirani akimelezea jambo Meneja mradi Injinia Samwel Metil wakati menejimenti ya shirika hilo ilipotembelea katika mradi huo.
Wakuu wa vitengo mbalimbali na mameneja wa mikoa wakitembelea mradi wa 711 Kawe leo.
Mmoja wa Mameneja wa NHC kutoka mkoani Dodoma Bw. Itandula Gambalagi pamoja na wenzake wakiwasili kutembelea mradi wa Morocco Square.
 Wakipatiwa maelezo katika mradi wa Morocco SquareMorocco Square.
Mameneja hao wakifuatilia maelezo ya mradi wa Morocco Square.
Muungano Saguya kulia Yahya Charahani kushoti na Itandula Gambalagi wakijadiliana jambo wakati walipotembelea mradi wa 711 Kawe pamoja na wenzao.
Jengo la Mradi wa Eco Residents ambalo limekamilika kwa asilimia 99%.
Ujenzi wa mradi wa 711 Kawe ukiendelea.

No comments: