Tuesday, May 3, 2016

KAMATI YA MAANDALIZI SIKU YA UTAMADUNI DUNIANI YAANZA MAANDALIZI

Mkurugenzi Msaidizi Sanaa Hajjat Shani Kitogo (aliyesimama) akiongoza majadiliano jana Jijini Dar es Salaam wakati wa kikao cha kamati ya maandalizi ya siku ya Utamaduni Duniani inayoadhimishwa kila tarehe ya 21 Mei.
Afisa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Sefania Motela (aliyesimama) akichangia wakati wa kikao cha kamati ya maandalizi ya siku ya Utamaduni Duniani inayotarajiwa kuadhimisha tarehe 21 Mei mwaka huu.
Mwenyekiti wa Tamasha la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo Bw. John Mponda (kulia) akifafanua jambo wakati wa kikao cha kamati ya maandalizi ya siku ya Utamaduni Duniani inayotarajiwa kuadhimisha tarehe 21 Mei mwaka huu.
Afisa Utamaduni kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Fransis Songoro (aliyesimama) akiwasilisha mchango ulitolewa katika kamati ndogo ndogo zilizoundwa wakati wa kikao cha kamati ya maandalizi ya siku ya Utamaduni Duniani inayotarajiwa kuadhimisha tarehe 21 Mei mwaka huu.
Baadhi ya Maafisa Utamaduni na Wadau wa Utamaduni wakifuatilia kwa makini majadiliano yaliyokua yakiendelea wakati wa kikao cha kamati ya maandalizi ya siku ya Utamaduni Duniani inayotarajiwa kuadhimisha tarehe 21 Mei mwaka huu.Picha na: Genofeva Matemu – Maelezo

No comments: