Monday, May 2, 2016

BWANA SAMWEL MILEGO AFUNGA NDOA NA BI. FLORIDA KAHATANO JIJINI DAR

Bwana harusi Samwel Milego na Bi. Florida Kahatano wakionyesha vyeti vyao mara baada ya kumaliza kufunga ndoa yao takatifu Jerusalem church of God lililoko Yombo Vituka jijini Dar es Salaam Jumamosi Aprili 30, 2016. PICHA ZOTE NA CATHBERT KAJUNA WA KAJUNASON BLOG.
Bwana harusi Samwel Milego akimvalisha pete Bibi harusi Florida Kahatano wakati wakifunga ndoa takatifu Jerusalem church of God lililoko Yombo Vituka jijini Dar es Salaam Jumamosi Aprili 30, 2016.
Bwana harusi Samwel Milego akila kiapo mbele ya mkewe Bi. Florida Kahatano wakati wakifunga ndoa takatifu Jerusalem church of God lililoko Yombo Vituka jijini Dar es Salaam Jumamosi Aprili 30, 2016.
Bibi harusi Florida Kahatano akimvalisha pete mumewe Samwel Milego wakati wakifunga ndoa takatifu Jerusalem church of God lililoko Yombo Vituka jijini Dar es Salaam Jumamosi Aprili 30, 2016.
Wachungaji wa kanisa la Jerusalem church of God lililoko Yombo Vituka jijini Dar es Salaam wakiwaombea Bwana harusi Samwel Milego na mkewe Bi. Florida Kahatano mara baada ya kufunga.
Bwana harusi Samwel Milego akisaini katika cheti huku akishuhudiwa na mkewe Bi. Florida Kahatano mara baada ya kufunga ndoa takatifu Jerusalem church of God lililoko Yombo Vituka jijini Dar es Salaam Jumamosi Aprili 30, 2016.
Mchungaji wa Jerusalem church of God lililoko Yombo Vituka jijini Dar es Salaam akimkabidhi cheti Bwana harusi Samwel Milego huku akisindikizwa na msimamizi wake Bw. Donald Byakwaga.
Mchungaji wa Jerusalem church of God lililoko Yombo Vituka jijini Dar es Salaam akimkabidhi cheti Bibi harusi Florida Kahatano ambaye alikuwa na msimamizi wake Bi. Celina Donald.
Wazazi wakiwapongeza watoto wao mara baada ya kumaliza kufunga ndoa. Baba wa Bibi Harusi Florida, Bw. Kahatano akiwa na mkewe wakitoa kibali cha mwanae kufunga ndoa na Bw. Samwel Milego.
Bwana harusi Samwel Milego (kushoto) akisindikizwa na msimamizi wake Bw. Donald Byakwaga kuingia Jerusalem church of God lililoko Yombo Vituka jijini Dar es Salaam Jumamosi Aprili 30, 2016.
Bibi harusi Florida Kahatano akiingia kanisani.
Watu waliohudhuria ibada.
Bwana harusi Samwel Milego na Bi. Florida Kahatano akitoka kanisani kwa nderemo na vifijo.
Bwana harusi Samwel Milego na Bi. Florida Kahatano wakiwa katika nyuso za furaha.

No comments: