Wednesday, May 11, 2016

BENKI YA CRDB WAELIMISHA WATEJA WAKE KUTUMIA INTANETI BENKI.

 Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Vijana, Pales Fungo akizungumza na wafanyakazi wa Benki ya CRDB wa matawi matatu tofauti jijini Dar es Salaam wakati wa kuwapa mafunzo ya benki kwa njia ya Mtandao(Internet Banking.)

Meneja wa njia mbadala wa Benki ya CRDB, Hamis Mhini akizungumza na wafanyakazi wa Benki ya CRDB wa matawi matatu tofauti jijini Dar es Salaam wakati wa kuwapa mafunzo ya benki kwa njia ya Mtandao(Internet Banking.) katika mafunzo hayo yaliwashirikisha matawi matatu ya Benki ya CRDB ambayo ni Water Front, Vijana na Lumumba.

Kutoka kushoto ni Msimamizi wa benki ya CRDB kwa njia ya mtandao(Internet Banking), Sarah Nzowa, Meneja wa benki ya CRDB tawi la Water Front,Donath Shirima na Meneja wa njia mbadala wa Benki ya CRDB, Hamis Mhini  wakimsikiliza Meneja wa maswala ya mtandao(Internet Banking) wa Benki ya CRDB, Mangire Kibanda.Meneja wa maswala ya mtandao(Internet Banking) wa Benki ya CRDB, Mangire Kibanda (aliye simama) kifafanua jinsi ya kutumia mtandao wa intaneti  yaani (Internet Banking) jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi pamoja na wateja wa benki ya CRDB wakisikiliza maada.
Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya CRDB wakimsikiliza Meneja wa maswala ya mtandao(Internet Banking) wa Benki ya CRDB, Mangire Kibanda, jijini Dar es Salaam.

No comments: