Monday, April 11, 2016

OLE SENDEKA ZIARANI MKOANI MANYARA

Msemaji wa CCM, Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka, akihutubia mkutano wa hadhara, katika kata ya Bashnet, Wilayani Babati mkoa wa Manyara, Apripil 10, 2016, akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Manyara.
Msemaji wa CCM, Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka (kushoto), akilakiwa na Kinamama wa Kata ya Bashnet, alipowasili katika kata hiyo kuhutubia mkutano wa hadhara katika kata hiyo, Wilayani Babati mkoa wa Manyara, Apripil 10, 2016, akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Manyara.
Msemaji wa CCM, Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka, akipitia Ilani ya CCM ya 2015-2020, kabla ya kuhutbia mkutano wa hadhara katika kata ya Bashnet, wilaya la Babati mkoani Manyara, akiwa katika ziara ya kikazi mkoani humo, Aprili 10, 2016. Kulia ni Katibu wa CCM mkoa wa ManyaraNdengaso Ndakubali.
Msemaji wa CCM, Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka, akisalimiana na Karoli Oli, ambaye alikuwa Mwenyekiti wa TANU katika kata ya Bashnet mwaka 1962, alipotambulishwa kwake katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kata hiyo, wilayani Babati mkoa wa Manyara, Aprili 10, 2016.
Mjumbe wa NEC, ambaye pia ni mtumishi wa Makao Makuu ya CCM katika Idara ya Itikadi na Uenezi, Kilumbe Ng'enda, akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kata ya Bashnet, wilayani Babati mkoa wa Manyara.
Msemaji wa CCM Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka akiwasalimia wananchi baada ya kuwasili katika Kata ya Bashnet kuhutubia mkutano wa hadhara akiwa katika ziara ya kikazi wilayani Babati mkoa wa Manyara, Aprili 10, 2016.
Kinamama wakimshangilia Msemaji wa CCM, Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka, alipohutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Bashnet, wilayani Babati mkoa wa Manyara, Aprili 10, 2016.

Kijana mkereketwa akiwa na picha ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Nyerere wakati wa mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Msemaji wa CCM, mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka katika kata ya Bashnet, wilayani Babati mkoa wa Manyara, Aprili 10, 2016.

Msemaji wa CCM, Mjumbe wa NEC, Christopher Ole Sendeka akisalimiana na Katibu wa CCM mkoa wa Manyara, Ndengaso Ndakubali, alipowasili kwenye Ofisi ya CCM mkoani humo, Afprili 10, 2016 akiwa katika ziara ya kikazi. (Picha na Bashir Nkoromo).

No comments: