Wednesday, April 27, 2016

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, PAUL MAKONDA AFUNGUA MKUTANO WA CHAMA CHA MAAFISA KUMBUKUMBU NA TAARIFA ZA AFYA TANZANIA

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,  Paul Makonda akifungua, Mkutano wa Watunza kumbukumbu Jijini Dar es Salaam leo.
 (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Mshauri Mkuu wa Chama cha wataalamu hao na Afisa kumbukumbu na Taarifa za Afya Mwandamizi wa  Hospitali ya Taifa Muhimbili, Geofrey Semu akizungumza na washiriki hao kabla ya kufunguliwa Mkutano huo  na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ambapo mkutano huo unatarajiwa kufungwa kesho na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
 Baadhi ya washiriki
 Baadhi ya washiriki kutoka Mikoa Mbalimbali Tanzania wakisikiliza kwa makini wakati wa Mkuu wa Mkoa Paul Makonda alipokua akizungumza leo Jijini Dar es Salaam
 Baadhi ya washiriki wenyeji katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na wageni kutoka Mikoa mbalimbali Tanzania wakisikiliza kwa umakini
  Baadhi ya washiriki  toka Mikoa Mbalimbali wakimsiliza Mkuu wa Mkoa Paul Mamonda (hayupo pichani) na mwenyeji mwenyeji wao, Elizabeth Mlindoko (wa pili kulia) kutoka  Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI)



No comments: