Saturday, April 30, 2016

KONGAMANO YA DICOTA 2016 DALLAS, TEXAS LAENDELEA TENA LEO IJUMAA

Bwn. Lunda Asumani akitoa maelekezo kwa wadau mbalimbali waliokuja kuongea kwenye kongamano la DICOTA 2016 linalofanyika Dalaas, Texas nchini Mrekani. Picha na Vijimambo/Kwanza production.
Rais wa DICOTA Ndaga Mwakabuta akielezea malengo ya DICOTA kwenye kongamano la DICOTA 2016 lililofanyika siku ya Ijumaa April 29, 2016 katika hotel ya Hyatt Regency.
Bob Townsend concel member wa mji wa Richardson, Texas akiongea machche.
Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Wilson Masilingi akisoma hotuba ya Mhe. Rais John Pombe Magufuli kwa Diaspora.
Balozi Anisa Mbega Mkuu wa kitengo cha Diaspora Wizara ya mambo ya nje, Ushirikiano Afika Mashariki , Kikanda na Kimataifa akisoma hotuba ujumbe kutoka Wizara hiyo.

 CHINI NI JUMUIYA BAADHI YA VIONGOZI WA JUMUIYA ZA WATANZANIA USA

No comments: