Thursday, April 7, 2016

KAMPUNI YA MAFUTA YA TOTAL YAWAKABIDHI ZAWADI WASHINDI WA SHINDANO LA "START UPPER OF THE YEAR BY TOTAL CHALLENGE"

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela Kairuki akizungumza katika hafla ya kuwakabidhi zawadi washindi wa shindano la wajasiliamali la kampuni ya Mafuta ya TOTAL iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya TOTAL Tanzania, Tarik Moufaddal akizungumza wakati wa kutoa zawadi kwa washindi wa shindano la wajasialiamali hapa nchini ambapo washindi watatu bora wajasiliamali walikabidhiwa zawadi zao na kampuni ya TOTAL katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Meneja wa Mradi wa Kampuni ya Mafuta ya TOTAL, Marsha Msuya akiwakaribisa wageni waalikwa kwenye hafla fupi ya kuwakabidhi zawadi washindi wa shindano la wajasialiamali la Kampuni ya TOTAL katika ukumbi wa mikutano wa Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Washiriki wa shindano la Kijasiliamali ya Kampuni ya TOTAL Tanzania wakiwa kwenye hafla hiyo kabla ya kukabidhiwa zawadi zao.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela Kairuki(Kutoka kushoto wa pili) akiwa na viongozi wa Kampuni ya TOTAL Tanzania katika hafla ya kuwakabidhi zawadi washindi wa shindano la wajasiliamali la kampuni ya TOTAL hafla iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
 Honorary Patron of the 2016 edition of Start uper Challenge ,Erric Mutta akizungumza katik hafla ya kuwakabidhi zawadi za washindi wa shindano la wajasiliamali la kampuni ya Mafuta ya TOTAL iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Mwanamziki wa Bongo Freva, Elias Barnabas (Barnaba) akitumbuiza katika katik hafla ya kuwakabidhi zawadi za washindi wa shindano la wajasiliamali la kampuni ya Mafuta ya TOTAL iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Mshindi wa tatu wa shindano la wajasiliamali la kampuni ya TOTAL, Krantz Mwantepele ambaye ameshinda shilingi milioni kumi na tano(15,000,000katika shindano la wajasiliamali la kampuni ya Mafuta ya TOTAL iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Mshindi wa pili wa shindano la wajasiliama, Mercy Kitomari akifafanua bidhaa ya Ice cream ya ladha za matunda mbalimbali ya hapahapa nchini ambapo shindano la wajasiliamali la kampuni ya Mafuta ya TOTAL  Na ni Mshindi wa shilingi milioni ishirini(20,000,000)akizungumza katika hafla ya kuwakabidhi zawadi washindi wa shindano la wajasiliamali la kampuni ya Mafuta ya TOTAL iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Mshindi wa Kwanza, Iddi Kalembo ambaye ni mshindi wa shilingi milioni thelathini na tano(35,000,000)akifafanua huduma anayoitoa ambayo yeye anafanya biashara ya kupiga picha na kuzisafisha kwa wakati huohuo katika hafla ya kuwakabidhi zawadi washindi wa shindano la wajasiliamali la kampuni ya Mafuta ya TOTAL iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela Kairuki akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni kumi na tano Mshindi wa tatu wa shindano la wajasiliamali la kampuni ya TOTAL, Krantz Mwantepele (wa pili kutoka kulia) katika hafla ya kuwakabidhi zawadi washindi wa shindano la wajasiliamali la kampuni ya Mafuta ya TOTAL iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela Kairuki akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni ishirini Mshindi wa pili wa shindano la wajasiliama, Mercy Kitomari (wa pili kutoka kulia)katika hafla ya kuwakabidhi zawadi washindi wa shindano la wajasiliamali la kampuni ya Mafuta ya TOTAL iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela Kairuki akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni thelathini na tano Mshindi wa Kwanza, Iddi Kalembowa pili kutoka kuliakatika hafla ya kuwakabidhi zawadi washindi wa shindano la wajasiliamali la kampuni ya Mafuta ya TOTAL iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angela Kairuki  akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa kampuni ya TOTAL Tanzania na washindi wa shindano la wajasiliamali mara baada ya wajasiliamali hao kukabidhiwa zawadi zao katika hafla ya kuwakabidhi zawadi washindi wa shindano la wajasiliamali la kampuni ya Mafuta ya TOTAL iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.

No comments: