Monday, April 18, 2016

EFM REDIO YAENDELEA NA SHINDANO LAKE LA SHIKA NDINGA,WIKI HII ILIKUWA WILAYA YA ILALA

Meneja Mkuu wa Efm redio, Denis Sebo akiwa katika picha ya pamoja na washidi wa shindano la shika ndinga walioshinda pikipiki kwenye viwanja vya Jica Shule Ilala jijini Dar es salaam. Kulia ni Zainabu Mhagama na kushoto ni Said Abdallah.
Washiriki wa Shindano hilo wakiendelea kushindana kwenye viwanja vya Jica Shule Ilala jijini Dar es Salaam.
Meneja Mkuu wa Efm redio, Denis Sebo akiwatazama washiriki wa kwenye viwanja vya jica Shule Ilala jijini Dar es Salaam.
Mtangazaji wa kipindi cha uhondo Adam Melele a.k.a Swebe Santana wa Efm redio akimkaribisha Meneja wa Mauzo wa Star Times, Juma Mchina Sharobaro ili atowe zawadi kwa washindi wa tatu na wa pili kwenye viwanja vya jica Shule Ilala jijini Dar es Salaam.
.Meneja wa Mauzo wa Star Times, Juma Mchina Sharobaro akiwa na washiriki wa shindano hilo mara baada ya kuwapatia zawadi, jijini Dar es Salaam.
Meneja Masoko wa Vodacom Materi Mushi akiwakatika picha ya pamoja na washiriki wa shindano hilo mara baada ya kuwapatia zawadi, jijini Dar es Salaam.
Watu wa huduma ya kwanza wakiwahudumia washiriki wa Shindano hilo
Wananchi wa wakifatilia mashindano hayo kwenye viwanja vya jica Shule Ilala jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya jamii)

No comments: