Tuesday, March 1, 2016

MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA (TCAA), HAMZA JOHARI.AANZA KAZI RASMI

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Hamza Johari (katikati) akimsikiliza kwa makini Mwanasheria wa Mamlaka hiyo , Vallery Chamulungu wakati alipokuwa akimkaribisha rasmi ofsini hapo.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA).Hamza Johari (watatu kushoto) akimsikiliza kwa makini Mwanasheria wa Mamlaka hiyo , Vallery Chamulungu (watatu kutoka kulia) wakati alipokuwa akimkaribisha rasmi ofisini Makao Makuu ya TCAA, Banana Ukonga Dar es Salaam. Wengini ni maofsa wa mamlaka hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Hamza Johari (KUSHOTO)akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Uongozaji ndege na Huduma za ufundi , Bw. Nyello Abeid ,wakati wa kumkalibisha rasmi kuanza kazi TCAA.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari akiwa katika kikao na menejimenti ya Mamlaka hiyo mara baada ya kukaribishwa rasmi kuanza kazi Makao Makuu ya TCAA, Banana Ukonga Dar es Salaam.

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania, Hamza Johari akiwa rasmi ofini kwake kuanza majukumu yake kama Mkurugenzi Mkuu TCAA ,baada ya kukaribishwa rasmi TCAA.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA) Hamza Johari akipokea Shada la maua kutoka kwa mmoja wa wafanyaakzi wa Mamlaka hiyo ,Evelyne Ngachengo ,wakati alipokuwaakikaribishwa na wafanyakazi wenzake rasmi kuanza kazi ,rasmi ofisini Makao Makuu ya TCAA, Banana Ukonga Dar es Salaam

No comments: