Saturday, March 5, 2016

MAHAFALI YA NNE YA CHUO CHA ZENITH LEARNING CENTER KWA KUSHIRIKIANA TRAVELPORT.

Mwalimu wa Chuo cha Zenith Learning Center Ali Mussa Mohammed, akizungumza kabla ya kuaza Mahafali ya Nne ya Chuo hicho yaliofanyika katika Ukumbi wa Chuo hicho Majestik Zanzibar jengo la Zanlink,Jumla ya Wahitimu 28 wametunikiwa Vyeti vyao na Mwenyekiti wa Bodi ya Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dr Ahmada Khatib.
Mkuu wa Mafunzo wa Chuo cha Zenith Learning Center Mundhir Nassor akitowa maelezo ya Kozi zinazotolewa na Chuo hicho kwa mgeni Rasmin kabla ya kuzungumza na wahitimu na kuwakabidhi vyeti vyao, Chuo hicho kinatowa Kozi ya Kimataifa ya Ukataji wa Tiketi za Ndege kwa Njia ya Kielectoniki
 (GALILEO  RESERVATION SYSTEM) 
Wahitimu wa Mafunzo hayo wakiwa ukumbi wa Mahafali hayo ya yaliofanyika katikav Ukumbi wa Chuo hicho Majestik Zanzibar jengo la Zanlink 
Mgeni Rasmin wa Hafla hiyo ya Mahafali ya Nne ya Chuo cha Zenith Learning Centr akiwa na Viongozi wa Chuo hicho wakati wa Mahafali hayo yaliofanyika katika Chuo hicho Zanzibar. 
Mwakilishi wa Travelport Zanzibar Ndg Rashid Ntalaluka akizungumza wakati wa mahafali hayo ya Nne ya Chuo hicho kwa Wahitimu wa Kozi ya Kimataifa ya kutowa huduma ya Ukataji wa Teketi kwa Njia ya Kieletroniki (Galileo Reservation System) na kuwaasa Vijana hao kutumia mafunzo hayo kwa utaalamu wa hali ya juu. 
Mkurugenzi wa Zenith Tours& Travel Ndg Salim M Suleiman, akitowa nasaha zake kwa wahitimu hao wakati wa mahafali hayo ya Nne ya Chuo hicho yaliofanyika katika ukumbu wa chuo hicho jengo la Zanlink Zanzibar.
Wahitimu wa Mafunzo hayo wakiwa ukumbi wa Mahafali hayo ya yaliofanyika katikav Ukumbi wa Chuo hicho Majestik Zanzibar jengo la Zanlink 
Mwenyekiti wa Bodi ya Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dr Ahmada Khatib akizungumza na kutowa nasaha zake kwa Wahitimu hao wa Mafunzo ya Ukataji Tiketi kwa Njia ya Kielectoniki(Galileo Reservation System) kuyatumia mafunzo hayo kwa ukamilifu wakati wa kutowa huduma kwa wataja wao wanapofika kupata huduma hiyo. , 
Wageni waalikwa katika Mahafali hayo wakiwa katika ukumbi wa hafla hiyo.
Wahitimu wakiwa katika ukumbi wa hafla hiyo ya mahafali ya Nne ya Chuo hicho.
Mwenyekiti wa Bodi ya Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dr Ahmada Khatib akimkabidhi mmoja wa Wahitimu hao Cheti chake baada ya kumaliza Kozi ya Ukataji wa Tiketi kwa Njia ya Kieletroniki, kulia Mkurugenzi Mkuu wa Zenith Tour & Travel Ndg Salim M Suleiman, na kushoto Mkuu wa Chuo hicho Ndg Mundhir Nassor.
Mwenyekiti wa Bodi ya Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dr Ahmada Khatib akimkabidhi mmoja wa Wahitimu hao Cheti chake baada ya kumaliza Kozi ya Ukataji wa Tiketi kwa Njia ya Kieletroniki, kulia Mkurugenzi Mkuu wa Zenith Tour & Travel Ndg Salim M Suleiman.
Mwenyekiti wa Bodi ya Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dr Ahmada Khatib akimkabidhi mmoja wa Wahitimu hao Cheti chake baada ya kumaliza Kozi ya Ukataji wa Tiketi kwa Njia ya Kieletroniki, 
Mwenyekiti wa Bodi ya Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dr Ahmada Khatib akimkabidhi mmoja wa Wahitimu hao Cheti chake baada ya kumaliza Kozi ya Ukataji wa Tiketi kwa Njia ya Kieletroniki, kulia Mkurugenzi Mkuu wa Zenith Tour & Travel Ndg Salim M Suleiman.
Mwenyekiti wa Bodi ya Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dr Ahmada Khatib akimkabidhi mmoja wa Wahitimu hao Cheti chake baada ya kumaliza Kozi ya Ukataji wa Tiketi kwa Njia ya Kieletroniki, kulia Mkurugenzi Mkuu wa Zenith Tour & Travel Ndg Salim M Suleiman.
Mwenyekiti wa Bodi ya Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dr Ahmada Khatib akimkabidhi mmoja wa Wahitimu hao Cheti chake baada ya kumaliza Kozi ya Ukataji wa Tiketi kwa Njia ya Kieletroniki, kulia Mkurugenzi Mkuu wa Zenith Tour & Travel Ndg Salim M Suleiman.
Mhitimu akiwa na furaha baada ya kukabidhi Cheti chake cha Huduma ya Kukatisha Tikeki ya Ndege kwa Njia ya Kieletroniki.
Mhitimu akiwa na furaha baada ya kukabidhi Cheti chake cha Huduma ya Kukatisha Tikeki ya Ndege kwa Njia ya Kieletroniki.

Mgeni Rasmin Mwenyekiti wa Bodi ya Kamisheni ya Utalii Zanzibar Dr Ahmada Khatib na Ungozi wa Chuo hicho wakiwa katika picha ya pamoja na wahitimu hao baada ya kuwakabidhi Vyeti vyao.
 Imetayarishwa na OthmanMapara.Blogspot.com
Zanzinews.com 

No comments: