Thursday, March 10, 2016

BAKITA waaswa kuhamasisha matumizi ya Lugha ya Kiswahili ndani na nje ya nchi

 Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bibi. Anastazia James Wambura (kushoto) akipokea Kamusi kuu ya Kiswahili kutoka kwa Katibu Mtendaji Baraza la Kiswahili Taifa (BAKITA) Dr. Selemani Sewange alipotembelea ofisi za BAKITA kufahamu mambo mbalimbali yanayofanywa na Taasisi hiyo jana jijini Dar es Salaam.
 Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bibi. Anastazia James Wambura (kushoto) akikabidhiwa kitabu kiitwacho Furahia Kiswahili kilichoandaliwa na BAKITA alipotembelea ofisi za BAKITA kufahamu mambo mbalimbali yanayofanywa na Taasisi hiyo jana jijini Dar es Salaam. Anayemkabidhi ni Katibu Mtendaji Baraza la Kiswahili Taifa (BAKITA) Dr. Seleman Sewange

 Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bibi. Anastazia James Wambura akipitia Kamusi kuu ya Kiswahili aliyopewa baada ya kutembelea ofisi za BAKITA kufahamu mambo mbalimbali yanayofanywa na Taasisi hiyo jana jijini Dar es Salaam.
 Mtaalamu kutoka Idara ya Istilahi na Kamusi Taasisi ya BAKITA Bw. Mayolwa John (kushoto) akimwelezea Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bibi. Anastazia James Wambura (kulia) kazi zinazofanywa na Idara hiyo alipotembelea ofisi za BAKITA kufahamu mambo mbalimbali yanayofanywa na Taasisi hiyo jana jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mtendaji Baraza la Kiswahili Taifa (BAKITA) Dr. Selemani Sewange
 Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bibi. Anastazia James Wambura (wapili kushoto) akiangalia mfumo wa mradi wa kukuza kiswahili katika kompyuta ulioandaliwa na BAKITA alipotembelea Taasisi hiyo kufahamu mambo mbalimbali wanayoyafanya jana jijini Dar es Salaam. Wapili kulia ni Katibu Mtendaji Baraza la Kiswahili Taifa Dr. Selemani Sewange na kushoto ni Afisa Utamaduni Bw. Christopher Mhongole.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bibi. Anastazia James Wambura (wapili kulia) akiongea na wataalamu wa Lugha na Fasihi kutoka Taasisi ya BAKITA alipotembelea Taasisi hiyo kufahamu mambo mbalimbali wanayoyafanya jana jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mtendaji Baraza la Kiswahili Taifa (BAKITA) Dr. Seleman Sewange

Picha na: Genofeva Matemu - Maelezo
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bibi. Anastazia James Wambura akizungumza na Katibu Mtendaji BAKITA (hayupo pichani) alipotembelea ofisi za Baraza la Kiswahili Taifa (BAKITA) kufahamu mambo mbalimbali yanayofanywa na Taasisi hiyo jana jijini Dar es Salaam.  
 Katibu Mtendaji Baraza la Kiswahili Taifa (BAKITA) Dr. Selemani Sewange (katikati) akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Bibi. Anastazia James Wambura (kushoto) alipotembelea ofisi za BAKITA kufahamu mambo mbalimbali yanayofanywa na Taasisi hiyo jana jijini Dar es Salaam. Kulia ni maafisa Utamaduni kutoka Wizara hiyo.

No comments: