Monday, February 15, 2016

SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI


Rais John Magufuli afanya uteuzi wa nafasi mbalimbali wakiwemo mabalozi watatu, makamishina wa polisi na kaimu mkurugenzi mtendaji wa NIDA.https://youtu.be/Kzk84GFQIB8  

Agizo la Rais Magufuli lakutaka jengo la ofisi katika hospitali ya muhimbili ligeuzwe kuwa wodi ya wazazi latekelezwa huku likiongwa na waziri wa afya.https://youtu.be/9BltPkmakRU  

Watu wawili wamefariki dunia akiwemo askari polisi baada ya kupigwa risasi na majambazi wakati yalipovamia duka kwa lengo la kupora fedha mkoani Tanga.https://youtu.be/d8BYDBSrf8Q  

Kasi ya utendaji kazi wa Rais John Magufuli yaendelea kuwashukia watumishi wa umma baada ya watumishi na watendaji wa TAKUKURU kutakiwa kuorodhesha mali zao baada taarifa walizotoa awali kukataliwa.https://youtu.be/hjG7ZCadx-o  

Chama cha waandishi wa habari mkoani Mtwara chalaani vikali kitendo cha polisi mkoani humo kumkamata mwandishi wa CH10 na kushikilia vifaa vyake vya kazi. https://youtu.be/buQ4T9Veug8  

Waziri Ummy Mwalimu awasimamisha kazi wakurugenzi 4 wa bohari kuu ya dawa kwa tuhuma za ubadhirifu wa zaidi ya shilingi bilioni 1.5;https://youtu.be/6yzY5ugw6pk  

Serikali yawataka watendaji nchini kutoa taarifa juu ya hospitali zinazokabiliwa na tatizo la uhaba wa vitanda vya wagonjwa; https://youtu.be/79wqvN7VSS0  

Rais John Magufuli afanya uteuzi wa mabalozi watatu katika wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa,https://youtu.be/JkO0ONi2R4A  

Serikali yauagiza uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam kukamilisha ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi Majimatitu;https://youtu.be/W52zYmIla-E  

Kampuni ya Ensol Tanzania yalikabidhi shirika la utangazaji Tanzania TBC  mitambo ya umeme wa jua iliyoko mkoani Ruvuma;https://youtu.be/lmvOSTsMu5E  

Askari wa jeshi la polisi aliyepigwa risasi wakati wa majibizano na majambazi mkoani Tanga afariki dunia wakati akipatiwa matibau hospitalini;https://youtu.be/0MQSwqtjrgo  

Serikali yazitaka halmashauri za Temeke na Ilala kutumia mashine za kieletroniki katika ukusanyaji wa mapato; https://youtu.be/P62ghd4CMW8  

Shirika la viwango nchini TBS laendesha msako mkali kwa wafanyabiashara wa vifaa vya magari; https://youtu.be/NoJtAEz_ues  

Kamati ya uendeshaji na usimamizi wa  michezo ya shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF inatarajiwa kukutana kesho kupitia taarifa juu ya michezo ya ligi daraja la kwanza ; https://youtu.be/mXXD041zbaY  

Inaelezwa kuwa Penati aliyoipiga mchezaji wa wa Barcelona, Lionel Messi wakati wa mchezo wa ligi kuu Uhispania  baina ya Barcelona na Celta De Vigo  yazua gumzo katika vyombo vya habari duniani;https://youtu.be/m9eM9eLIzF0  
  
Walimu visiwani Zanzibar washauriwa kukaa karibu na wanafunzi katika ili kuweza kuwasaidia matatizo yanayowakabili; https://youtu.be/UVYiKGbzHMA

No comments: