Thursday, February 18, 2016

MKURUGENZI WA VODACOM TANZANIA,IAN FERRAO AANZA ZIARA MAALUM YA KUTEMBELEA VYOMBO VYA HABARI NCHINI

 Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao(katikati) akishuhudia  Mkurugenzi Mtendaji  wa ITV na Redio one, Joyce Mhavile ( kulia)akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom, Rosalynn Mworia ( kushoto) wakati  uongozi wa kampuni hiyo  ulipotembelea kituo cha  ITV na Redio One jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kuelendeleza Mahusiano mazuri ya kibiashara.
 Mkurugenzi Mtendaji wa ITV na Redio One, Joyce Mhaville, (kulia) akiwafafanulia jambo wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakati walipotembelea kituo hicho  kwa ajili ya kujifunza  mbalimbali na kuelendeleza Mahusiano mazuri ya kibiashara,Kutoka Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa  Vodacom Tanzania, Ian Ferrao, Meneja Uhusiano Matina Nkurlu,Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa kampuni hiyo,Rosalynn Mworia  wakati  uongozi wa kampuni hiyo ulipotembelea  ITV na Redio One jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali na kuendeleza mahusiano mazuri ya kibiashara kituoni hapo.
 Maofisa wa Vodacom Tanzania ,wakiongozwa na  Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Ian Ferrao(wapili kushoto) Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa  Rosalynn Mworia (aliyekaa)   Meneja Uhusiano Matina Nkurlu, (kushoto)na Meneja biashara,Grace Lyon  wakioneshwa jinsi taarifa ya habari inavyoenda hewani na  na mtangaziji wa kituo cha ITV Abdallah Mwaipaya, Wakati  Uongozi wa kampuni hiyo ulipotembelea kituo hicho  jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali na kuendeleza mahusiano mazuri ya kibiashara kituoni hapo.
 Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao(wapili kulia)  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa kampuni hiyo, Rosalynn Mworia ( kushoto)  na Kaimu mkuu wa Masoko na Mawasiliano,Yvonne Maruma wakimsikliza kwa makini  Mhariri wa  ITV na Redio One,Stephen  Chuwa alipokuwa akiwafafanulia jambo kuhusiana na utendaji wa wa kituo hicho,Wakati  Uongozi wa kampuni hiyo ulipotembelea  kituo hicho  jijini Dar es Salaam,kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali na kuendeleza mahusiano mazuri ya kibiashara kituoni hapo.
  Mkurugenzi Mtendaji wa ITV na Redio One, Joyce Mhaville(kushoto) akiongea jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa  Vodacom Tanzania, Ian Ferrao(katikati) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa kampuni hiyo, Rosalynn Mworia ,wakati wa ziara ya  kujifunza mambo mbalimbali na kuendeleza mahusiano mazuri ya kibiashara na  kituo hicho jana.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao(kushoto) akimsikiliza matangazaji wa kituo cha EATV, Deo alipoongoza  Uongozi wa kampuni yake kutembelea  kituo hicho jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali yanayofanywa na kituo hicho na kuendeleza mahusiano mazuri ya kibiashara  kituni hapo jana.
 Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao na   Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mawasiliano na Uhusiano wa kampuni hiyo, Rosalynn Mworia , wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa  East Africa Redio na EATV,wakati  Uongozi huo ulipotembelea  kituo hicho  jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali yanayofanywa na kituo hicho na kuendeleza mahusiano mazuri ya kibiashara  kituni hapo jana.
Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Tanzania, Ian Ferrao  akisisitiza jambo kwa Uongozi wa Kampuni ya New habari Corporation jijini Dar es Salaam, wakati  wa ziara maalum ya kutembelea  chombo hicho cha habari jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kujifunza mambo mbalimbali yanayofanywa na chombo hicho na kuendeleza mahusiano mazuri ya kibiashara  na chombo hicho,Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa New Habari Corporation,Hussen Bashi.

No comments: