Friday, February 12, 2016

KIKAO CHA BODI YA BARABARA CHAFANYIKA MKOANI KILIMANJARO


Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Amosi Makala akizungumza wakati wa kikao cha bodi ya barabara kilichoketi katika ukumbi wa ofisi ya RC .

Makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Moshi, Exaud Mamuya akichangia katika kikao hicho.Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
 


Baadhi ya wajumbe wa kikao hicho ambacho hutangulia kabla ya kikao cha Ushauri cha Mkoa (RCC).
Waziri wa Maliasili na Utalii ,Pro Jumanne Mghembe ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Mwanga akichangia hoja katika kikao hicho.
Mkuu wa wilaya ya Mwanga ,Shaibu Ndemanga akifuatilia michango iliyokuwa ikitolewa katika kikao hicho.
Mkuu wa Wilaya ya Rombo ,Lembris Kipuyo akifutilia michango ya hho .oja mbalimbali katika kikao hicho.
Mkuu wa Wilaya ya Moshi Novatus Makunga akifuatilia michango katika kikao hicho.
Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) mkoa wa Kilimanjaro,Mwita Rubirya akizungumza wakati wa kikao cha Bodi ya barabara .
Mkuu wa Wilaya ya Same,Herman Kapufi akifuatilia michango katika kikao hicho.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akifuatilia michango katika kikao hicho.
Mkuu wa wilaya ya Siha,Dkt Charles Mlingwa akifuatilia michango katika kikao hicho.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Same ,Christopher Ilila akichangia katika kikao hicho.
Mkuu wa wilaya ya Same ,Herman Kapufi akichangia katika kikao hicho.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka akichangia katika kikao hicho.
Mkuu wa wilaya ya Siha,Dkt Charles Mlingwa akichangia katika kikao hicho.

No comments: