Sunday, January 31, 2016

SIMU TV: HABARI KUTOKA VITUO VYA TELEVISHENI

SIMU.TV:  Mgeni njoo mwenyeji apone, ziara ya waziri mkuu Mh.Majaliwa Kilimanjaro yaleta matumaini makubwa kwa wananchi mkoani humo;https://youtu.be/_0bjAYbNvyE   
 SIMU.TV:  Wazazi wamtelekeza mtoto wao baada ya kuzaliwa bila mikono, mwalimu wa shule pamoja na madiwani walazimika kumtunza mtoto huyo;https://youtu.be/eeHEXqmRlV8  
 SIMU.TV:  Serikali imetakiwa kuwashirikisha watu wa ngazi ya chini ili kuepuka migogoro inayojitokeza mara kwa mara hasa migogoro ya ardhi;https://youtu.be/HKZGztDDU0M
 SIMU.TV:  Serikali ya mapinduzi Zanzibar imeombwa kuwachukulia hata baadhi ya watendaji wa serikali wanaonyanyasa wananchi hasa katika kujenga katika maeneo ya wazi; https://youtu.be/gUowBoSqwCo
 SIMU.TV:  Shirika la viwango nchini TBS limewataka wazalishaji wa bidhaa nchini kutoa ushirikiano katika kampeni yake ya ondoa bidhaa hafifu katika masoko nchini;https://youtu.be/SH3irZuzyps
 SIMU.TV:  Meya wa Ilala aitaka manispaa hiyo kuongeza idadi ya mabwana afya katika machinjio ya Vingukuti ili kuongeza ufanisi wa ukaguzi wa nyama;https://youtu.be/qsX2qC9T_gA
 SIMU.TV:  Nguli wa mchezo wa tenisi Novak Djokovic aibuka mshindi wa michuano ya Australia Open baada ya kumburuza mpinzani wake Murray;https://youtu.be/NQDPUW5CnKg
 SIMU.TV:  Waziri Majaliwa, Lowasa washuhudia kusimikwa kwa askofu Dr. Fredrick Shoo. Askofu awasisitiza wabunge kuwa na nidhamu bungeni;https://youtu.be/k2zhEBY6GRg   
 SIMU.TV:  Warundi 28 washikiliwa na idara ya uhamiaji Geita kwa kuingia nchini bila kibali na Watanzania 2 kwa kuhifadhi wahamiaji haramu;https://youtu.be/OYuAX_glIe4  
 SIMU.TV:  Wakazi wa Dar es Salaam wamepongeza hatua ya Serikali kuchukulia hatua mzozo wa ufukwe wa Coco; https://youtu.be/p779vwtOxFQ
 SIMU.TV:  Wakandarasi katika miradi mbalimbali ya ujenzi nchini wameagizwa kutoa mikataba ya ajira wafanyakazi; https://youtu.be/r6JrLD88TB8  
 SIMU.TV:  Waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda amewataka Watanzania kutumia fursa ya uhusiano uliopo kati ya China na Tanzania kujiletea maendeleo;https://youtu.be/8nanVBqRrQM
 SIMU.TV:  Ndanda FC yatoka sare ya kufungana bao la moja kwa moja na timu ya Mgambo JKT katika mechi iliyochezwa mkoani Tanga;  https://youtu.be/ffsLIm22DDs
 SIMU.TV:  Serikali yawatoa wasi wasi wananchi juu ya kuwepo kwa ugonjwa wa Zika nchini  ulioenea zaidi katika bara la Amerika la kusini; https://youtu.be/_LII-V824eI
 SIMU.TV:  Kanisa la KKKT launga juhudi za serikali ya awamu ya tano katika kupambana na watu wanaotumia mali za umma kujinufaisha wao; https://youtu.be/nlsvxWYcstk
 SIMU.TV:  Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini washauriwa kuwasimamia waandishi wa habari ili watoe habari zenye ubora;https://youtu.be/eG3WlZhnwQA
 SIMU.TV:  Wafanyakazi wa idara ya Mahakama nchini washauriwa kutenda haki kwa raia ili kuleta usawa kila mtu; https://youtu.be/t3eYaW4mCSw
 SIMU.TV:  Mkuu wa wilaya ya Kinondoni, Mhe. Paul Makonda atangaza zoezi la upimaji afya bure kwa wakazi wa kinondoni kuwa ni zoezi endelevu;https://youtu.be/3M3KkBAr77M
 SIMU.TV:  Inaelezwa kuwa mkoa wa kagera uko mbioni kuunganishwa na gridi ya taifa ya umeme katika kuhakikisha umeme unakuwa wa uhakika mkoani humo;https://youtu.be/jSMBOWCmc_c
 SIMU.TV:  Kamati ya muda ya soka visiwani Zanzibar yamjia juu Rais wa TTF, Jamal Malinz kwa kusema haitambui kamati hiyo; https://youtu.be/n1gfYVterWM
 SIMU.TV:  : Kocha wa timu ya taifa ya Ivory Cost inayoshiriki michuano ya CHAN ajivunia kikosi chake kuwa kina vijana wenye vipaji vya hali ya juu;https://youtu.be/Ggi_kDTNn_U

No comments: