Sunday, January 31, 2016

SIMU TV: HABARI KUTOKA VITUO VYA TELEVISHENI

SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa auagiza uongozi wa mkoa wa Kilimanjaro kuhakikisha dawa zinapatikna katika hosptali ya mkoa ya Mawenzi;https://youtu.be/f2hoFZV9qxk
 SIMU.TV: Serikali yafanikiwa kukusanya kodi zaidi ya trioni moja kwa mwezi wa kwanza kiasi ambacho ni kikubwa kulinganisha na mwezi Disemba;https://youtu.be/Tx0b2Y7P_1M
 SIMU.TV: Inaelezwa kuwa mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Morogoro za sababisha zoezi la kuitoa ndani ya maji MV Kilombero kukwama;https://youtu.be/2LD3eHis4ow
 SIMU.TV: Serikali yaiagiza bohari ya dawa nchini MSD kuweka rangi maalum katika dawa zinazonunuliwa na serikali ili kuthibiti wizi; https://youtu.be/5wLCh_2k23w
  SIMU.TV: Rais John Magufuli aagiza kusimamishwa kazi kwa mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Bariadi kwa tuhuma kutokana na utata wa ujenzi wa barabara wilayani humo; https://youtu.be/JinxH3O_Q_4
 SIMU.TV: Wakazi wa jijini Dar es Salaam washauriwa kuendelea kutekeleza agizo la Rais John Magufuli la kutaka kufanya usafi kila mwisho wa mwezi;https://youtu.be/0b-sNdaWXA8
 SIMU.TV: Timu ya Yanga ya jijini Dar es Salaam yaangukia pua baada ya kunyukwa goli 2-0 na timu ya Coastal Unioni ya jijini Tanga; https://youtu.be/AHSLnOLlgj8
 SIMU.TV: Serilkali visiwani Zanzibar yawataka wananchi kuacha kujenga karibu na vyanzo vya maji ili kuepuka maafa kama vile mafuriko; https://youtu.be/BZhpecxxUHA
 SIMU.TV: Serikali yaanza utekelezaji wa kuthibiti wizi wa dawa inazozinunua kwa kuweka nembo maalum; https://youtu.be/i4y78bjsotQ
 SIMU.TV: Uboreshaji hafifu wa mitaro ya maji na taka ngumu zachangia kuziba mitaro ya maji na kusababisha mafuriko jijini la Dar es Salaam; https://youtu.be/_xUEq2tElFQ
 SIMU.TV: Mkuu wa wilaya ya Musoma mkoani Mara awaagiza watendaji kata kuwabaini wananchi wanaotumia vibaya fedha za TASAF ili wachukuliwe hatua kali;https://youtu.be/Auaq1HkiTQk
 SIMU.TV: Serikali ilitaka shirikisho la mchezo wa riadha nchini kuwa na mkakati sahihi katika kuinua mchezo huo hapa nchini; https://youtu.be/Tk0vcDNWtBg

No comments: