Tuesday, January 19, 2016

Shirika la Posta Tanzania laadhimisha Siku ya Posta Barani Afrika


Mkuu wa Uhusiano Shirika la Posta Tanzania (TPC), Wilfred Miigo, akitoa utambulisho wakati wa maadhimisho ya Siku ya Posta Barani Afrika leo jijini Dar es Salaam. Katikati waliokaa ni Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika hilo, Fortunatus Kapinga, kushoto ni Kaimu Meneja Mkuu Uendeshaji Biashara za Shirika, Janeth Msofe na kulia ni Meneja Mkuu Rasilimali za Shirika, John Lukonge. (Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
Kaimu Meneja Shughuli za Biashara za Fedha, Mourus Obwana, akijitambulisha wakati wa mkutano na waandishi wa habari katika maadhimisho ya Siku ya Posta Barani Afrika leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja Barua na Logistik, Fadya Zam na kulia ni Meneja Mifumo ya Mawasilano, David Mtake.
Meneja Mifumo ya Mawasilano, David Mtake, akijitambulisha katika mkutano wa maadhimisho hayo. Kulia ni Meneja Masoko, David George. 
Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Fortunatus Kapinga, akizungumza na waandishi wa habari, Makao Makuu ya shirika hilo, Dar es Salaam leo, kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu utendaji wa shirika kwa mwaka uliopita na mipango ya shirika kwa mwaka 2016, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Posta barani Afrika. yanayoadhimishwa Januari 18 ya kila mwaka. Kushoto ni Kaimu Meneja Mkuu Uendeshaji Biashara za Shirika, Janeth Msofe na kulia ni Meneja Mkuu Rasilimali za Shirika, John Lukonge. 
Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Fortunatus Kapinga, akizungumza na waandishi wa habari, Makao Makuu ya shirika hilo, Dar es Salaam leo, kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu utendaji wa shirika kwa mwaka uliopita na mipango ya shirika kwa mwaka 2016, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Posta barani Afrika. yanayoadhimishwa Januari 18 ya kila mwaka.
Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Fortunatus Kapinga, akizungumza na waandishi wa habari, Makao Makuu ya shirika hilo, Dar es Salaam leo, kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu utendaji wa shirika kwa mwaka uliopita na mipango ya shirika kwa mwaka 2016, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Posta barani Afrika. yanayoadhimishwa Januari 18 ya kila mwaka.Kushoto ni Kaimu Meneja Mkuu Uendeshaji Biashara za Shirika, Janeth Msofe.  
Baadhi ya Maofisa wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), wakimsikiliza Kaimu Postamasta Mkuu wa shirika hilo, Fortunatus Kapinga, wakati akizungumza na waandishi wa habari, Makao Makuu ya shirika hilo, Dar es Salaam leo, kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu utendaji wa shirika kwa mwaka uliopita na mipango ya shirika kwa mwaka 2016, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Posta barani Afrika. yanayoadhimishwa Januari 18 ya kila mwaka. 
Baadhi ya waandishi wa habari, wakimsiliza na kuandika habari zilizokuwa zikitolewa na Kaimu Postamasta Mkuu wa shirika hilo, Fortunatus Kapinga, wakati akizungumza nao, Makao Makuu ya shirika hilo, Dar es Salaam leo, kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu utendaji wa shirika kwa mwaka uliopita na mipango ya shirika kwa mwaka 2016, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Posta barani Afrika. yanayoadhimishwa Januari 18 ya kila mwaka.  
Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Fortunatus Kapinga, akizungumza na waandishi wa habari, Makao Makuu ya shirika hilo, Dar es Salaam leo, kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu utendaji wa shirika kwa mwaka uliopita na mipango ya shirika kwa mwaka 2016, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Posta barani Afrika. yanayoadhimishwa Januari 18 ya kila mwaka. Kulia ni Meneja Mkuu Rasilimali za Shirika, John Lukonge. 
Baadhi ya waandishi wa habari, wakimsiliza na kuandika habari zilizokuwa zikitolewa na Kaimu Postamasta Mkuu wa shirika hilo, Fortunatus Kapinga, wakati akizungumza nao, Makao Makuu ya shirika hilo, Dar es Salaam leo, kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu utendaji wa shirika kwa mwaka uliopita na mipango ya shirika kwa mwaka 2016, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Posta barani Afrika. yanayoadhimishwa Januari 18 ya kila mwaka. 
Baadhi ya waandishi wa habari na Maofisa wa Shirika wakimsiliza na kuandika habari zilizokuwa zikitolewa na Kaimu Postamasta Mkuu wa shirika hilo, Fortunatus Kapinga, wakati akizungumza nao, Makao Makuu ya shirika hilo, Dar es Salaam leo, kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu utendaji wa shirika kwa mwaka uliopita na mipango ya shirika kwa mwaka 2016, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Posta barani Afrika. yanayoadhimishwa Januari 18 ya kila mwaka. 
Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Fortunatus Kapinga, akizungumza na waandishi wa habari, Makao Makuu ya shirika hilo, Dar es Salaam leo, kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu utendaji wa shirika kwa mwaka uliopita na mipango ya shirika kwa mwaka 2016, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Posta barani Afrika. yanayoadhimishwa Januari 18 ya kila mwaka.  
Waandishi wa habari, wakimsiliza na kuandika habari zilizokuwa zikitolewa na Kaimu Postamasta Mkuu wa shirika hilo, Fortunatus Kapinga, wakati akizungumza nao, Makao Makuu ya shirika hilo, Dar es Salaam leo, kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu utendaji wa shirika kwa mwaka uliopita na mipango ya shirika kwa mwaka 2016, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Posta barani Afrika. yanayoadhimishwa Januari 18 ya kila mwaka.  
Baadhi ya Maofisa wa Shirika la Posta Tanzania (TPC),wakimsikiliza Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Fortunatus Kapinga, akizungumza na waandishi wa habari, Makao Makuu ya shirika hilo, Dar es Salaam leo, 
Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Fortunatus Kapinga, akizungumza na waandishi wa habari, Makao Makuu ya shirika hilo, Dar es Salaam leo. 
Baadhi ya Maofisa wa Shirika la Posta Tanzania (TPC),wakimsikiliza Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Fortunatus Kapinga, akizungumza na waandishi wa habari, Makao Makuu ya shirika hilo, Dar es Salaam leo. 
Kaimu Meneja Mkuu Uendeshaji Biashara za Shirika, Janeth Msofe, akizungumza katika mkutano wa maadhimisho hayo leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Fortunatus Kapinga. 
Kaimu Meneja Mkuu Uendeshaji Biashara za Shirika, Janeth Msofe, akifafanua jambo kwa waandishi wa azungumza katika mkutano huo wa maadhimisho uliofanyika leo jijini Dar es Salaam. 
Meneja Masoko, David George, akifafanua jambo wakati akijibu maswali ya waandishi wa habari katika maadhimisho hayo leo jijini.

No comments: