Monday, December 21, 2015

MEGATRADE INVESTMENT LTD YA JIJINI ARUSHA YATOA SIKU KUU KWA WATOTO WA KITUO CHA AMANI CENTER

Meneja Masoko wa kampuni ya Megatrade kanda ya Kaskazini,Edmnd Rutaraka akizungumza kabla ya kukabidhi zawadi kwa watoto waishio katika mazingira magumu wanaolelewa katika kituo cha Amani cha mjini Moshi. 
Watoto waishio katika mazingira magumu wanaolelewa katika kituo cha Amani Center wakifurahia zawadi zilizotolewa na kampuni ya Megatrade kwa ajili ya siku kuu za Christmas na Mwaka mpya.
Meneja mauzo wa kam-puni ya Megatrade Investment ya jijini Arusha,Edmund Rutaraka akiwa na wafanyakazi wenzake pamoja na wafanyakazi katika kituo cha kulelea watoto waishio katika mazingira mag4umu cha Aman Center wakati alipofika kituoni hapo kukabidhi zawadi kwa ajili ya siku kuu za Christmas na Mwaka mpya. 
Baadhi ya zawadi zilizotolewa na kampuni ya Megatrade kwa watoto wao. 

Watoto waishio katika mazingira magumu wanao lelewa katika kituo cha Amani Center wakiweka pozi la picha mara baada ya kukabidhiwa zawadi kutoka Megatrade Investment ya jijini Arusha. 
Kituo cha watoto cha Amani Center.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. 


No comments: