Monday, October 5, 2015

JK ZIARANI KENYA, AAGANA NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI HUMO

 Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto akiongozana na Balozi wa Tanzania nchini Kenya Mhe Haule wakisogea eneo la kupokelea wageni mashuhuri katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi Jumapili jioni
 Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto akisalimiana na kikundi cha kuimba Accapella  eneo la kupokelea wageni mashuhuri katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi Jumapili jioni
 Ndege la Shirika la Ndege la Air Tanzania iliyomchukua Rais Kikwete ikiwasili uwanjani hapo
 Rais Kikwete akishuka katika ndege
 Rais Kikwete akilakiwa kwa furaha na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
 Rais Kikwete akipokea shada la maua
 Rais Kikwete akitambulishwa kwa viongozi na maafisa mbalimbali wa Kenya
 Rais Kikwete akisalimiana na maafisa ubalozi wa Tanzania nchini Kenya
 Rais Kikwete akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya
 Rais Kikwete akiongozana na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
 Rais Kikwete akiongea na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
 Rais Kikwete na mwenyeji wake Naibu Rais wa Kenya Mhe Wiliam Ruto wakiangalia vikundi mbalimbali vya ngoma vilivyokwenda kumpokea uwanja wa ndege




 Rais Kikwete akiongozana na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
 Rais Kikwte akiweka saini kitabu cha wageni
 Rais Kikwete akiangalia picha mbalimbali zenye historia ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta
 Mratibu wa hafla ya chakula cha usiku kilichoandaliwa na Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya akisom ratiba wakati wa kuanza kwa shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi 
  Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Balozi wa  Tanzania nchini kenya Mhe John Haule akiongea wakati wa hafla ya Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya waliyoandaa kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Balozi wa  Tanzania nchini kenya Mhe John Haule akiongea wakati wa hafla ya Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya waliyoandaa kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wana Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Dua ya Kiisalamu ikisomwa na mwakilishi wa Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi

 Dua ya Kikristo  ikisomwa na mwakilishi wa Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Makamu Mwenyekiti wa  Jumuiya ya Watanzania waishio Kenya akisoma risala yao katika  shughuli hiyo ya kumuaga Rais Kikwete kwenye hoteli ya  Villa Rosa Kempinski jijini Nairobi
 Wanajumuiya
 Baadhi ya ujumbe wa Rais Kikwete kwenye hafla hiyo
 Wanajumuiya wakimsikiliza Rais Kikwete
 Rais Kikwete akihutubia wana Jumuiya
 Rais Kikwete akihutubia wana Jumuiya
 Rais Kikwete akihutubia wana Jumuiya
 Wanajumuiya wakipiga makofi
 Meza kuu
 Wanajumuiya na wageni wakishangilia
 Rais Kikwete akipokea zawadi yake toka kwa Jumuiya
 Mapaparazi hawakosekani kwenye shughuli kama hizi....
 Rais Kikwete akipokea zawadi kwa  niaba ya mkewe Mama Salma Kikwete
 Neno la shukurani
 Rais Kikwete akimshukuru mtoa neno 
 Rais Kikwete akiwa na wanachama wa Jumuiya ya Kinamama wa Tanzania waishio Kenya
 RAis Kikwete akiwa na viongozi wa jumuiya
 Rais Kikwete akiwa na wanafunzi wa Tanzania wasomao Kenya
 Rais Kikwete akipata picha na wafanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Kenya
 Rais Kikwete akiwa katika picha ya kumbukumbu na Balozi John Haule na mkewe mama Haule wakati alipoamua kupiga picha na kila mwanajumuiya aliyehudhuria kwenye hafla hii. Hizi na baadhi tu ya hizo picha


 Rais Kikwete akiwa na wanaJumuiya 
Rais Kikwete akipokea maelezo ya badhi ya changamoto wazipatazo wanafunzi wa Tanzania wasomao Kenya kutoka kwa mwenyekiti wa umoja wao

No comments: