Friday, February 27, 2015

WAZIRI MKUU AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOA WA MBEYE,LEO YUPO WILAYANI KYELA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Zamani wa Mkoa wa Mbeya Mzee John Mwakipesile baada ya kuwasili kwenye makazi ya Mkuu wa Wilaya ya Kyela kwa ziara ya siku moja wilayani humo Februari 26, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wazee wa Kyela baada ya kuwasili kwenye makazi ya Mkuu wa wilaya kuaza ziara ya siku moja wilayani humo Februari 26, 2015.
Wananchi wakimsikiliza Waziri Mkuu, MizengoPinda wakati aliozungumza baada ya kufungua mashine ya kukoboa nakuchambua mpunga mjini Kyela Februari 26, 2015.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Katibu wa CHADEMA wa kata ya Mwaya, Ageni Pamesa kabla ya kufungau maabra ya shule ya sekondari ya Mwaya akiwa katika ziara ya Mkoa wa Mbeya Februari 26, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikata utepe kufungua maabara ya shule ya sekondari Mwaya wilayani Kyela akiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya Februari 26, 2015. Kushoto ni Mkewe Tunu na wapili kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kyela anayeondoka Margareth Malenga.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu (wapili kulia) akitazama mafunzo kwa vitendo wakati alipokagua maabara ya Kemia katika shule ya sekondari ya Mwaya wilayani Kyela Februari 26, 2015.
Daraja la Mwaya wilayani Kyela ambalo lilizinduliwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya Februari 26, 2015.


Daraja la Mwaya wilaya ni Kyela ambalo lilizinduliwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na watalaamu wa kampuni ya kichina ya CHICCO kabla ya kufungua daraja la Mwaya lililojengwa na kampuni hiyo wilayani Kyela Februari 26, 2015.




Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Kyela akiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya Februari 26, 2015. Wapili kulia ni mkewe Tunu na wapili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Kyela anayeoondoka, Margareth Malanga.

No comments: