Monday, September 1, 2014

TAMASHA LA FIESTA 2014 LILIVYOSAMBAZA UPENDO KWA WAKAZI WA MJI WA MOSHI MWISHONI MWA WIKI

 Msanii Mkongwe wa muziki wa Hip hop nchin Farid Kubanda a.k.a FQ pichani shoto wakilishambulia jukwaa na msanii mwenzake Stamina jukwaani huku wakiwa na shabiki wao,juu ya jukwaa la tamasha la Fiesta 2014 lilofanyika katika viwanja vya Majengo mjini Moshi.
 Msanii wa Bongofleva pichani kulia wakimuimbisha shabiki wao jukwaani,kushoto ni Fid Q
 Mkali mwingine wa hip hop Roma pichani shoto wakilishambulia jukwaa la Fiesta 2014 mbele ya umati mkubwa wa wakazi wa jiji la Moshi na vitongoji vyake,lililofanyika mwishoni mwa wiki ndani ya uwanja wa majengo mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro
 Ana majina kibao ya kisanii lakini hapa mwite Dully Sykes akiwaimbisha mashabiki wake (hawapo pichani) wakati wa tamasha la Fiesta 2014 lililofanyika mwishoni mwa wiki mjini Moshi
 Mmoja wa mashabiki wa tamasha la Fiesta pichani akitazama kwa makini yaliyokuwa yakijiri kwenye jukwaa la tamasha hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki mjini Moshi.
 Mashabikii wakishangilia jambo wakati wasanii mbalimbali wa tamasha la Fiesta 2014 wakiendelea kutumbuiza jukwaani.
 Mwanadada Feza Kessy akiimba jukwaani wakati wa tamasha la Fiesta 2014 lililofanyka mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Majengo mjini Moshi.
 Sehemu ya umati wa watu waliofika kushuhudia tamasha la Fiesta 2014 lililofanyika mwishoni mwa wiki mjini Moshi.
 MKali wa kusugua ngoma,kutoka Clouds FM,Dj Zero akiwa kwenye mashine yake ya kazi
 Mashabiki wakisambaza upendo wa kutosha kabisa kwa wasanii wao waliokuwa wakitumbuiza jukwaani.
 Sehemu ya umati wa mashabiki wa tamasha la fiesta wakiwa wamemezwa vilivyo na jicho la samaki
 Wakazi wa jiji la Moshi walisambaza upendo wa kutosha ndani ya tamasha hilo ambalo hukusanyisha watu kutoka vitongoji mbalimbali ndani na nje ya mji wa Moshi.
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka THT,Rachael akiimba kwa hisia jukwaani.
 Rachael na madansa wake wakilishambulia jukwaa la fiesta mwishoni mwa wiki jijini Moshi.
 Mkali mwingine wa muziki wa Bongofleva,Ali Kiba akiwaimbisha mashabiki wake jukwaani.
 Mmoja wa wasanii mahiri wa muziki wa hip hop nchini,Fid Q akiwaimbisha mashabiki wake (hawapo pichani) ,mwishoni mwa wiki kwenye tamasha la fiesta lililofanyika katika viwanja vya Majengo.
 Msanii Shaa akilishambulia jukwaa.
 Msaniii Shaa na Madansa wake kwa pamoja wakilishambulia jukwaa la Fiesta 2014
 Mashabikii wakishangilia jambo wakati wasanii mbalimbali wa tamasha la Fiesta 2014 wakiendelea kutumbuiza jukwaani.

No comments: