Tuesday, September 2, 2014

FATHER EVOD SHAO AAGWA KWA KISHINDO BALTIMORE MD.

IMG_9800Fr. Shao wa kanisa la Katoliki Balktimore anayeongoza Parokia hiyo pamoja na misa za Kiswahili DMV akiwa na Padre anayechukua nafasi yake Fr.Honest Munishi Jumapili katika ibada maalum ya kumwaga Padre Shao iliyofanyika huko Baltimore Maryland, Fr.Evoda Shao baada ya kuhudumu kwa miaka 9 sasa anarudi kuendelea na huduma nyumbani Tanzania. IMG_9827Mapadre wakiongoza ibada. IMG_9927Balozi wa Tanzania Washington Dc na Mexico Mh.Liberata Mula mula akitoa maneno ya kumuaga Fr.Evod Shao. IMG_9917Mwakilishi kutoka ofisi ya Meya wa Baltimore akitoa hotuba ya kumuaga Fr.Shao. IMG_9939Mwambata wa jeshi Washington Dc na Canada Kanali Adolph Mutta na mkewe wakifuatilia ibada hiyo. IMG_9793Baadhi ya Watanzania waliohudhuria ibada. IMG_9791Harriet Shangirai makamu rais wa Jumuiya ya watanzania -DMV akiwa na mumewe Bw.Dan, kushoto ni Brian Daudi. IMG_9836Kulia Mzee Safari akiwa na mkewe. IMG_9941Kulia ni katibu wa Jumuiya ya watanzania Bw.Said Mwamende. IMG_9951Mwenyekiti wa jumuiya ya wakatoliki DMV Bw.Pius Mutalemwa nyuma yake ni naibu katibu wa jumuiya ya watanzania Bi.Bernadeta Kaiza na mwanae.Kwa picha zaidi ungana na http://sundayshomari.com/

No comments: