Thursday, April 24, 2014

WAKAZI WA MABOGINI MKOANI KILIMANJARO WAANZA KUPATA ADHA YA MVUA ZINAZONYESHA SASA

Wafanyabiashara wa mkaa wakijaribu kuokoa mkaa usilowe maji .
Mifugo ikipita katika maji yaliyokuwa yakitokea katika mashamba ya TPC.
Maji yakipita kwa wingi yakitokea katika Mashamba ya miwa ya TPC na maeneo ya katikati ya mji ambako mvua kubwa imenyesha .
Mama akimsadia mtoto wake kuvuka maji katika eneo la Mabogini .
Wanafunzi wakijaribu kuvuka maji wakati wakitoka shuleni.
Wazazi walilazimika kuacha shughuli zao na kwenda kuwachukua watoto wao wasije chukuliwa na maji.
Maji yakiingia katika maeneo ya makazi ya watu katika eneo la Mabogini.
Wazazi walilazimika kufanya kazi ya kuwavusha wanafunzi.
Sehemu ya makazi ya watu ikiwa imeingiliwa na maji.
Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazi.

No comments: