Wednesday, May 1, 2013

Watanzania wa Ujerumani wafanikisha Sherehe za miaka 49 muungano mjini kolon


 Dada Nashe Mvungi akionyesha bidhaa za Tanzania kwa wageni
Dada Tabia Mwanjelwa(mwenye) gitaa akiwa na wasanii wenzie jukwaani

 Naibu Balosi Mhe Ali Siwa akizungumza na Mzee.Katabalo, mtumishi mstaafu wa UN
 Naibu Balozi Mhe Ali Siwa akitoa hotuba ya Ufunguzi
 Naibu Balozi  Mhe. Ali Siwa akiwa na Msanii John Gambula kutoka Bagamoyo.
 Msanii Dada Joanita Henry(Mwenyeji wa muungano Day Koloni) akiwa na msanii mwenziwe kutoka Zimbabwe.
 Maana ya muungano yakubalika na watoto wa kimataifa !ngoma inogile.
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Shah Smooth akiwarusha wageni
 Muungano oyeeee! huyu dogo naye ndani ya nyumba

Watanzania Ujerumani wakiduarika ktk Sherehe za muungani,mjini Koloni
 Hakubaki mtu nyumbani.

 wageni mbali mbali wakiipongeza Tanzania, mwenyekiti wa UTU Mh. Mfundo aliyevaa shati la kitenge akiongoza shughuli
 wageni wakijichagulia Bidhaa za Tanzania
 Wasanii wa kikundi cha Wabantu group wakiipeperusha TZ
Wasanii wa kitanzania wakiiepeperusha TZ katika maigizo 

No comments: