Monday, February 18, 2013

ASANTE YA CRDB KWA JAMII YA NJOMBE

Katika kuishukuru jamii ya wakazi wa Njombe kwa kuliwezesha tawi la Benki ya CRDB Njombe kupata mafanikio makubwa kibiashara katika mwaka 2012, benbki hiyo liliandaa zawadi kwa watoto yatima wa kituo cha Tumaini Ilunda kilichopo Njombe pia tawi likaandaa tafrija fupi iliyohusisha wateja wa benki na wadau wengine wa Benki wa mkoani Njombe. Tukio la zawadi kwa watoto yatima wa lilihudhuriwa na mkuu wa wilaya ya Njombe, Mhe Sarah Dumba
 Meneja wa tawi la CRDB Njombe, Alison Andrew akiongea na watoto wa kituo cha Tumaini
 Mkuu wa wilaya ya Njombe Sarah Dumba akiongea na watoto wa kituo cha Tumaini
 Mkuu wa kituo cha Tumaini, Sister Coletha Ponela (kushoto) akifuatana na mkuu wa wilaya ya Njombe, Sarah Dumba pamoja na maofisa wa benki ya CRDB wakielekea ukumbi wa kituo cha Tumaini.
 Watoto wa kituo cha Tumaini wakiimba mbele ya mkuu wa wilaya na wageni kutoka benki ya CRDB
Mkuu wa wilaya ya Njombe Mhe Sara Dumba  akikabidhi zawadi
 Maafisa wa Benki ya CRDB wakishusha zawadi walizotoa kwa watoto wa kituo cha Tumaini
 Wafanyakazi wa benki ya CRDB, mkuu wa wilaya, watoto na walezi katika picha ya pamoja
 Wafanyakazi wa benki ya CRDB, mkuu wa wilaya, watoto na walezi katika picha ya pamoja
 Wafanyakazi wa benki ya CRDB, mkuu wa wilaya, watoto na walezi katika picha ya pamoja
 Watoto wakionesha ustadi wao katika sarakasi
 Wafanyakazi wa benki ya CRDB katika picha ya pamoja na mlezi wa kituo pamoja na mkuu wa wilaya.
 Baadhi ya wateja wa CRDB Njombe wakiwa katika tafrija na wafanyakazi wa Benki ya CRDB Njombe
Mlezi wa kituo sister Coletha akipokea akipokea zawadi ya Tshirt kutoka Benki ya CRDB 

 Wafanyakazi wa benki ya CRDB Njombe wakionyesha ujuzi mwingine wa kusakata rhumba.
  Njombe Jazz Band walikuwepo kuburudisha wageni waalikwa
 Wafanyakazi na wageni waalikwa wakiburudika kwa muziki
 Afisa Mikopo wa Benki ya CRDB Njombe akitoa somo la mikopo
 Wafanyakazi na wageni waalikwa wakiburudika kwa muziki
Mmoja wa wateja wa Benki ya CRDB Njombe Edward Mwalongo, akitoa ushuhuda wake namna gani amenufaika kibiashara kupitia benki ya CRDB.

No comments: